segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Kwa hotuba ya Lema bungeni wiki iliyopita kuna haja ya kuichagiza na nukuu za Malcolm X ili iwe ya moto zaidi.
X alikuwa hana msalia mtume na mtu anayemnyanyasa kama vile Lema alivyojipambanua katika andiko lake kama wazir kivuli wa mambo ya ndani.
Namkumbusha Lema apitia pia nukuu za mwanaharakati Malcolm X zitamsaidia siku zijazo katka wadhifa wake.
Nawasilisha
X alikuwa hana msalia mtume na mtu anayemnyanyasa kama vile Lema alivyojipambanua katika andiko lake kama wazir kivuli wa mambo ya ndani.
Namkumbusha Lema apitia pia nukuu za mwanaharakati Malcolm X zitamsaidia siku zijazo katka wadhifa wake.
Nawasilisha