Akichangia katika kamati ya matumizi ya bajeti ya wizara ya uchukuzi, mh: lema amedai kuwa serikali inaonewa kwa jukum zito la kununua ndege za serikali kwa kuwa serikali ieshindwa hata kununua madawati mashuleni, vitanda mahospitalini na n.k.
Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?
Wana jf ninyi mnaonaje kauli hii ya mhe: lema kwamba serikali inaonewa kwa kupewa jukum zito la kununua ndege za ATCL wakati kuna vitu vingi vyenye ghalama ndogo havijanunuliwa?