MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Hayo ni maono tu, ikiwa yatatimia ni mipango ya Mungu, kwa hiyo wanamombi wamuombee ili isiwe kweli au wale wanaoomba yawe ya kweli basi yatimie kama Mungu alivyopanga maana Mungu ndiye anayejua