Lema, omba msamaha kwa mheshimiwa Rais Magufuli

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,502
6,403
Salamu wakuu,

Haya ni mapendeleo yangu tu hivyo na wengine labda mtakua na muoneleo tofauti juu ya kushikiliwa kwa kiongozi mbunge wa Arusha mjini.

Ni dhahiri familia na wananchi wako wameikosa huduma yake adhimu kwa muda sasa, yapata miezi miwili sasa tangu alipokamatwa mbunge wa Arusha mjini Godbles Lema kwa kosa ambalo wengi wetu tunalifahamu lakini tunakejeli kwamba Lema hana hatia.

Nakuomba Lema 'funika kombe mwanaharamu apite" jeuri, kiburi na dharau kwa mtukufu vitakufikisha kubaya, laasivyo utaozea jela! OMBA MSAMAHA tu yatakwisha na utapewa dhamana kirahisi tu, kwani kiuhalisia hukupaswa kuwa ndani kwa muda wote huo.

Ni ushauri tu
 
Kwanza tengua kauli, hakuna shughuli zilizosimama Arusha....ndio kwanza kazi zinaenda speed ile mbaya kana kwamba wanaambiana 'fanyeni haraka kabla huyu bwana mafujo hajatoka'
 
Salamu wakuu,

Haya ni mapendeleo yangu tu hivyo na wengine labda mtakua na muoneleo tofauti juu ya kushikiliwa kwa kiongozi mbunge wa Arusha mjini.

Ni dhahiri familia na wananchi wako wameikosa huduma yake adhimu kwa muda sasa, yapata miezi miwili sasa tangu alipokamatwa mbunge wa Arusha mjini Godbles Lema kwa kosa ambalo wengi wetu tunalifahamu lakini tunakejeli kwamba Lema hana hatia.

Nakuomba Lema 'funika kombe mwanaharamu apite" jeuri, kiburi na dharau kwa mtukufu vitakufikisha kubaya, laasivyo utaozea jela! OMBA MSAMAHA tu yatakwisha na utapewa dhamana kirahisi tu, kwani kiuhalisia hukupaswa kuwa ndani kwa muda wote huo.

Ni ushauri tu
NENO LA KUZINGATIA
 
Salamu wakuu,

Haya ni mapendeleo yangu tu hivyo na wengine labda mtakua na muoneleo tofauti juu ya kushikiliwa kwa kiongozi mbunge wa Arusha mjini.

Ni dhahiri familia na wananchi wako wameikosa huduma yake adhimu kwa muda sasa, yapata miezi miwili sasa tangu alipokamatwa mbunge wa Arusha mjini Godbles Lema kwa kosa ambalo wengi wetu tunalifahamu lakini tunakejeli kwamba Lema hana hatia.

Nakuomba Lema 'funika kombe mwanaharamu apite" jeuri, kiburi na dharau kwa mtukufu vitakufikisha kubaya, laasivyo utaozea jela! OMBA MSAMAHA tu yatakwisha na utapewa dhamana kirahisi tu, kwani kiuhalisia hukupaswa kuwa ndani kwa muda wote huo.

Ni ushauri tu




Kwani yeye huyo aliyetoa amri ya kumfunga lema hatambui ubinadamu hadi lema amuombe msamaha?

Nani ataishi duniani milele?

kwa nini uhadaike na vyeo vya kidunia?

HAKUNA ANAEFAIDIKA HAPO ZAIDI YA KUKOMOANA KISHA TUKIFA TINAOZA SAWASAWA NA KUIPATA ADHABU YA KABURI KIKAMILIFU.
 
Siungi mkono hoja kuwa Lema aombe msamaha kwa kosa gani. Lema hana haja ya kuomba msamaha wowote kwa yeyote kwa kutoa mawazo yake. Yote anayotendewa ni dhulma na karma itamlipia, ila pía akitoka atakuwa amejifunza kitu, he will never be the same again, atakuwa wiser kwamba sio kila anachofikiria atakitamka, kuna mengine unawaza lakini unayaweka moyoni.

Yule Mtabiri wa Nigeria TB Joshua kuna kitu ametabiri kuhusu Tanzania kitatokea kabla ya 2020, watu tupo tumekisikia lakini tumenyamaza hatukisemi, hivyo Lema akitoka atakuwa amejifunza sio kila kitu ni lazima kusema, kuna vitu vingine mtu unapaswa kuhifadhi moyoni mwako.

Poleni sana wote mnaoguswa na kadhia ya Lema, karma ipo na malipo ni hapa hapa duniani.
Paskali
 
Muache awe Mandela
Anaponzwa na hawa Vibendera
Ila najua Dawa imeanza kumshika
Lazima amesha juria ujinga wake.

Lema lazima asome alama akitoka
Haya maneno niya vijiweni kwa wanywa viroba
Mwenyewe kule anajua mziki unao mkuta.
 
Siungi mkono hoja kuwa Lema aombe msamaha kwa kosa gani. Lema hana haja ya kuomba msamaha wowote kwa yeyote kwa kutoa mawazo yake. Yote anayotendewa ni dhulma na karma itamlipia, ila pía akitoka atakuwa amejifunza kitu, he will never be the same again, atakuwa wiser kwamba sio kila anachofikiria atakitamka, kuna mengine unawaza lakini unayaweka moyoni.

Yule Mtabiri wa Nigeria TB Joshua kuna kitu ametabiri kuhusu Tanzania kitatokea kabla ya 2020, watu tupo tumekisikia lakini tumenyamaza hatukisemi, hivyo Lema akitoka atakuwa amejifunza sio kila kitu ni lazima kusema, kuna vitu vingine mtu unapaswa kuhifadhi moyoni mwako.

Poleni sana wote mnaoguswa na kadhia ya Lema, karma ipo na malipo ni hapa hapa duniani.
Paskali

Hahaha pasco!!
Unauma na kupuliza
Kwahiyo umelenga kuwa alikuwa ana kurupuka!!

Asiye funzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu
Lema hakufunzwa hii ni nafasi yake ya kufunzwa.

Nina kubariana nawe siyo kila ukiwazacho lazima ukiropoke.
 
Nakuomba Lema 'funika kombe mwanaharamu apite" jeuri, kiburi na dharau kwa mtukufu vitakufikisha kubaya, laasivyo utaozea jela! OMBA MSAMAHA tu yatakwisha na utapewa dhamana kirahisi tu, kwani kiuhalisia hukupaswa kuwa ndani kwa muda wote huo.

acha ujinga wwewe

Aombe msamaha kwa kosa gani?

Kwani huyo Mtu wenu mnayemwabudu hatakufa

Lema hawezi fanya ujinga huo....fanya wewe
 
Siungi mkono hoja kuwa Lema aombe msamaha kwa kosa gani. Lema hana haja ya kuomba msamaha wowote kwa yeyote kwa kutoa mawazo yake. Yote anayotendewa ni dhulma na karma itamlipia, ila pía akitoka atakuwa amejifunza kitu, he will never be the same again, atakuwa wiser kwamba sio kila anachofikiria atakitamka, kuna mengine unawaza lakini unayaweka moyoni.

Yule Mtabiri wa Nigeria TB Joshua kuna kitu ametabiri kuhusu Tanzania kitatokea kabla ya 2020, watu tupo tumekisikia lakini tumenyamaza hatukisemi, hivyo Lema akitoka atakuwa amejifunza sio kila kitu ni lazima kusema, kuna vitu vingine mtu unapaswa kuhifadhi moyoni mwako.

Poleni sana wote mnaoguswa na kadhia ya Lema, karma ipo na malipo ni hapa hapa duniani.
Paskali
mkuu hapa inabidi Lema ajishushe tu!
maana Mtukufu amekalia sheria
 
Back
Top Bottom