radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,191
hawezi kuwa mbadala wa mbunge huyu!
kwa shughuli anazofanya yawezekana mkuu natania
hawezi kuwa mbadala wa mbunge huyu!
maoni kama haya ndo yatafanya aendelee kushikiliwa ili haki itendeke na haki yenyewe ni sheria kufuatwa ndio maana yupo ndani hadi leo na sheria ikiendelea kufuatwa, atatoka huko akiwa si mbunge tena bali mfungwa. Ninyi ndo mnakaza kitanzi badala mkifungue mkidhani kitanzi kinamwonea wakati kichwa kaingiza mwenyewe!Siungi mkono hoja kuwa Lema aombe msamaha kwa kosa gani. Lema hana haja ya kuomba msamaha wowote kwa yeyote kwa kutoa mawazo yake. Yote anayotendewa ni dhulma na karma itamlipia, ila pía akitoka atakuwa amejifunza kitu, he will never be the same again, atakuwa wiser kwamba sio kila anachofikiria atakitamka, kuna mengine unawaza lakini unayaweka moyoni.
Yule Mtabiri wa Nigeria TB Joshua kuna kitu ametabiri kuhusu Tanzania kitatokea kabla ya 2020, watu tupo tumekisikia lakini tumenyamaza hatukisemi, hivyo Lema akitoka atakuwa amejifunza sio kila kitu ni lazima kusema, kuna vitu vingine mtu unapaswa kuhifadhi moyoni mwako.
Poleni sana wote mnaoguswa na kadhia ya Lema, karma ipo na malipo ni hapa hapa duniani.
Paskali
Tumuombee atoke tu, atakua amejifunza kuchunga kauli zakeHakuna huduma yoyote tuliyoikosa kutoka kwake maana kazi yake kubwa ni kuhamasisha maandamano,migomo na kila aina ya uchafu.Acha aendelee kukaa huko ili aelewe kwamba serikali hii si legelege wala dhaifu kama alivyozoea kusema.
Ndio huyo mkuu, mana ndiye mlalamikajiKWA HIYO UKISEMA Mh.LEMA OMBE MSAAMA KWA MAGUFULI kwa hiyo Magufuli ndio kamuweka magereza sio ndio Wewe umetudhilishia kuwa RAIS MAGUFULI ndio kamuweka ndani?Mungu anawaona serikali ya ccm na fitina zenu badala ya kuwasaidia Watanzania.
swissme
Vua iyo jezi uliyovaaHakuna cha msamaha....Lema labda akaimbe mahakama msamaha... Lema atasamehewa na mahakama lakini akumbuke mahakama si mama wala baba yake mpaka imuonee huruma.
Mimi napendekeza akae uko miaka 27 ili awe Mandela kweli.
Hakuna cha msamaha....Lema labda akaimbe mahakama msamaha... Lema atasamehewa na mahakama lakini akumbuke mahakama si mama wala baba yake mpaka imuonee huruma.
Mimi napendekeza akae uko miaka 27 ili awe Mandela kweli.
Magufuli ndio amuombe Lema msamaha.
Anaongoza nchiHivi kama Lema anaropoka ....Magu anafanya nini
atatoka na tutawafingulia mashtaka hao woteNdio huyo mkuu, mana ndiye mlalamikaji
Anatawala nchiAnaongoza nchi
Magu sio kiongozi ni mtawalaMagufuli anaongoza nchi kama kawa