Hahahahahahahahahah, mimi nilichoongea ni ukweli mtupu, labda kile wewe wataka kutuaminisha. Teh teh.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
wanaosema 2015 CDM ITABISHA HODI IKULU naomba WAFUTE KAULI YAO...kauli nzur ni CDM ITAINGIA IKULU...kubisha hodi inamaanisha kunamtu ndan ambaye mtasubir uamuz wake wa kufungua ama la. CDM inafungua na kuingia yenyewe
Hiyo ni mneno mbofumbofu, believe or not, Kilaza kama Lema hawezi fanya hiyo kitu mnaisema. Labda muwape posho wabunge wenu wote ili waende huko mnasema, lakini bado hawatafanikiwa. Hahahahahahaha, teh teh teh teh.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
ulizaliwa enzi za pepopunda?Hiyo ni mneno mbofumbofu, believe or not, Kilaza kama Lema hawezi fanya hiyo kitu mnaisema. Labda muwape posho wabunge wenu wote ili waende huko mnasema, lakini bado hawatafanikiwa. Hahahahahahaha, teh teh teh teh.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Umechizika CHALII. Nchi hii ni pipozz pawaaaaaa tu.
ulizaliwa enzi za pepopunda?
We ni wa ovyo sijapata kuona..
Waliosoma ni zao la ufisadi. Tuwaogope kama ukoma!
inawezekana Lema ni kilaza kielimu lakini kwa hakika wewe ni KILAZA wa FIKRA, pia nina wasiwasi na utimamu wa akili yako kwani ungekuwa mzima usingezubuthu kutoa kauli ya namna hiyo. bila shaka wewe ni wa Magamba wanaotafuna trilioni 13 kwa wizara mbili, zaidi ya bajeti ya nchi then mnashangilia upuuzi. nani KAWALOGA??????????
Long live Lema long live Chadema.
ask him who taught first proffessor?inawezekana Lema ni kilaza kielimu lakini kwa hakika wewe ni KILAZA wa FIKRA, pia nina wasiwasi na utimamu wa akili yako kwani ungekuwa mzima usingezubuthu kutoa kauli ya namna hiyo. bila shaka wewe ni wa Magamba wanaotafuna trilioni 13 kwa wizara mbili, zaidi ya bajeti ya nchi then mnashangilia upuuzi. nani KAWALOGA??????????
Kwa kukosa hekima na adabu angalia unatukana babu na bibi zako na baadhi ya ndugu zako kwani najua hawajaenda shule. Ina maana nao ni msosi wa wasomi pia?
wewe fisadi jitu! Hauna hata haya ya kujineemesha na kodi ya watanzania?
Bado mpo icu na bado unabwabwaja tu na misemo mibovu kama hii ya kwako isiyo na mbele wala nyuma fisadi chafu wewe!
Safari hii nakwakikishia ya kwamba utakimbia jukwaa mwenyewe kama mafisadi wenzako watumwa walioamua kutua mzigo na kurudi ndani ya jf na id tofauti!
Tumia kichwa unapotaka kuja humu jamvini kilaza mkubwa wa mafisadi wewe!
Hauna hata haya!
Bhangi at work