ZALEOLEO
Senior Member
- Oct 11, 2011
- 116
- 18
Jana Leo alimwambia jaji Gabriel Rwakibasila kuwa Malalamiko ya dr Buriani kwa tume yalikua ya uongo kwani agosti 28,2010 aliyodai kuwa Lema alitoa matusi na kauli za kejeli na udhalilishaji hakufanya mkutano katika kata ya sombelini kama alivoeleza kwenye malalamiko yake bali alifanya mkutano sokoni 1. "Hakuna matusi yaliyotukanwa,ukinionesha matusi najiuzulu ubunge leo kukupunguzia kazi,kama kumwambia hakuweka dustbin(makasha ya taka) na kuwa alimshauri rais vibaya kuhusu ujenzi wa barabara ya serengeti ni vijembe hiyo ni sawa" katika hatua nyingine jana chadema waliahirisha mikutano yao ya kampeni baada ya mgombea wao joshua nassari kufiwa na baba yake mdogo anayeitwa Elisha nassari!