utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Swala la Mabomu ya Soweto na Olasit laibuka tena bungeni, baada ya Kijana aliyebambikizwa kesi na kuteswa akilazimishwa kumtaja Lema kuwa ndo aliyemtuma kulipua mabomu hayo! Kijana yupo Bungeni tayari kumwaga ushahidi wake. Waziri mkuu amekosa majibu asema wampelekee katika maandishi.
upuuzi mtupu, kijana yupo tayari kutoa ushahidi bungeni kwani yeye ni mbunge?? kwani bunge ni mahakama?? ujinga mtupu, ni show off isiyokuwa na maana yoyote wala tija kwa watz