georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,117
- 1,867
Mungu atawaumbua watenda maovu hao, huwezi kufanya uhalifu halafu ukaanza kufanya unyama kumshinikiza tena mtoto ili kusingizia wengine!
Unafiki unaanzia kwa yule kiongozi mkuu sana wa nchi hii aliyejidai kukatiza ziara yake Oman ili kuja kuwapa pole wahanga wa bomu la Olasiti wakati mchezo mzima aliufahamu kabla