Hakuna walichotikisa mbona, hilo swali wameambiwa waandike kwa maandishi sio wanabwabwaja tu kama wameshapiga gongo zao asubui.
hiyo ni nmana ya kukwepa kujibu swali,kwani likiandikwa ndio litabadilika kna kuwa swali jepesi?au likiandikwa ndio litaeleweka kwa urahisi?likiandikwa ndo inakuwaje sasa!hapo kakwepa kujibu swali kwa kuwa limewagusa kwenye mfupaHakuna walichotikisa mbona, hilo swali wameambiwa waandike kwa maandishi sio wanabwabwaja tu kama wameshapiga gongo zao asubui.
Baada ya mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kukoswakoswa na bomu la soweto yeye na Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe na kuua watanzania wanne. Sasa jeshila polisi liko kwenye harakati za kumubambikia Mhe. Lema kuwa yeye ndiyo aliye tuma mtu kwenda kulipua bomu bahati mbaya sana kwa CCM na jeshi lake na bahati mzuri Kwa mhe. Lema na Chadema ni kuwa kijana huyo pamoja na puminywa mapumbu aligoma kabisa kusema/kutenda dhambi hiyo licha ya kwamba kijana huyo alitumwa na Lema na akawaambia wakati wa mlipuko huo kijana huyo alikuwa gerezani kwa kesi nyingine..Ndipo jeshila polisi kwa aibu wakamwachia kijana huyo kwasasa yuko bungeni na alikuwa tayari kutoa maelezo hayo.
Huyu ndie Mwalimu!
JF siyo sehemu ya porojo mkuu weka ushahidi wa jina la huyo kijana.
Wa Ukenyenge habari mkuu,umenikumbusha moja ya hotuba ya mwalimu miaka ya sabini hivi.Wasalimie Negezi kwao marehemu Bob Nyanga Makani.uwasalimie pia pale Wila mission.
Mods. msipochukua hatua kuachia uchafu huu humu jukwaani , sifa ya jukwaa itapotea kabisa ! ni watu wale wale wanajulikana kutoa pumba alafu hawafungiwe au post kufutwa tumechoshwa na ujinga wao, mtu akiona heading anajua kuna kitu cha maana kimeandikwa kufungua utakuta ovyo kabisa.
Mods chukueni hatua kwa hali hii
Ni MWIGULU MCHEMBA ndiye aliyemtuma kijana huyo.
Hivi Pinda kweli ni kiongozi mkuu wa serikali?anashindwaje kujibu swali ambalo ushahidi upo mbele yake?du! Serikali hii ni janga kwa Taifa.