wewe unafikiri kila mtu mnywa gogngo kama wewe?Kijana? Huyo mnywa gongo kibaka WA Ngalelo nani hajui huo mchongo wa Lema?
upuuzi mtupu, kijana yupo tayari kutoa ushahidi bungeni kwani yeye ni mbunge?? kwani bunge ni mahakama?? ujinga mtupu, ni show off isiyokuwa na maana yoyote wala tija kwa watz
upuuzi mtupu, kijana yupo tayari kutoa ushahidi bungeni kwani yeye ni mbunge?? kwani bunge ni mahakama?? ujinga mtupu, ni show off isiyokuwa na maana yoyote wala tija kwa watz
Baada ya mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kukoswakoswa na bomu la soweto yeye na Mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe na kuua watanzania wanne. Sasa jeshila polisi liko kwenye harakati za kumubambikia Mhe. Lema kuwa yeye ndiyo aliye tuma mtu kwenda kulipua bomu bahati mbaya sana kwa CCM na jeshi lake na bahati mzuri Kwa mhe. Lema na Chadema ni kuwa kijana huyo pamoja na puminywa mapumbu aligoma kabisa kusema/kutenda dhambi hiyo licha ya kwamba kijana huyo alitumwa na Lema na akawaambia wakati wa mlipuko huo kijana huyo alikuwa gerezani kwa kesi nyingine..Ndipo jeshila polisi kwa aibu wakamwachia kijana huyo kwasasa yuko bungeni na alikuwa tayari kutoa maelezo hayo.
wewe unafikiri kila mtu mnywa gogngo kama wewe?
Lema hajabambikiwa Polisi wana ushahidi na ushiriki wake katika kulipua BOMU soweto, ni suala la muda tu, kila kitu kitawekwa hadharani, Msifanye watanzania ni wajinga.
Mwigullu hawezi kuchomoka kwenye hili! Kama poli-ccm wangekuwa makini walitakiwa wawe wamesha mkamata yeye na Nape kwa kauli zao za kuashiria mauwaji siku moja kabla ya mauwaji yenyewe.
Mtu yotote makini ataunganisha nukta na kuona ushiriki wa ccm kwenye kulipua bomu. Kwani hata wakisema wana kana kuwa hawaja lipua halafu tukalinganisha ripoti ya serikali iliyofichwa juu ya mauwaji ya Januari 5 wataweza kurukia wapi wakati ripoti imesema kabisa kuwa polisi walihusika na walidhamiria kuuwa?!!
!
!
bunge litakuwa halikuwekwa nguzo imara.........
Huyu dogo atakuwa mdogo wake JOYCE MUKYA
Polisi hawafanyi kazi kwa mapenzi yako wewe au ya Mbowe, wanafanya kazi kwa utaratibu wao, mnatuma watu wanalipuwa mabomu halafu mnatafuta huruma.
Kwa hiyo Jeshi la Polisi liko chini ya Me. Lema...
heading ya thred hii ingepaswa iwe; nasari akumbatia ugaidi na kufanya show off ya mtuhumiwa wa ugaidi bungeni, lema ashindwa kuuliza swali kwa waziri mkuu,aweweseka na kujitetea.
mbona wameweweseka tu mkuu, lipi la maana waliloongea
hakuna rangi mtaacha kuona mwaka huu, mtaota na majibu hadi mindukni kwa njaa maana nasikia bosi wenu anapuguza posho toka buku 7 hadi buku 3 tu ya nauli.Hakuna walichotikisa mbona, hilo swali wameambiwa waandike kwa maandishi sio wanabwabwaja tu kama wameshapiga gongo zao asubui.