Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Baada ya madiwani wa chadema kununuliwa inasemekana na hiko chama chao cha ccm na kuachana na nafasi zao za udiwani, ni wazi uchaguzi mdogo kuziba nafasi zao unakuja!
Nipende kuwaomba mbunge Lema na Nassari kuwa, tuwachieni sisi wananchi kazi ya kuwaonyesha hawa CCM kuwa hatuwataki na uchaguzi huu utadhihirisha hili kwani tutachagua upinzani kama tulivyozoea na hili litakuwa ni pigo kuu takatifu hawatakuja lisahau
Ccm inahitaji kuadhibiwa na wananchi katika hili, hakika mtashangazwa na kura zitakazopigwa mtashindwa hata kuiba!
Swali ni je
Hao madiwani wapya wa Chadema tutakao wachagua, nao mtawanunua kama mnavyofanya sasa?
Nipende kuwaomba mbunge Lema na Nassari kuwa, tuwachieni sisi wananchi kazi ya kuwaonyesha hawa CCM kuwa hatuwataki na uchaguzi huu utadhihirisha hili kwani tutachagua upinzani kama tulivyozoea na hili litakuwa ni pigo kuu takatifu hawatakuja lisahau
Ccm inahitaji kuadhibiwa na wananchi katika hili, hakika mtashangazwa na kura zitakazopigwa mtashindwa hata kuiba!
Swali ni je
Hao madiwani wapya wa Chadema tutakao wachagua, nao mtawanunua kama mnavyofanya sasa?