Naomba kujua kama hawa watu wawili nnaowazimia Godbless Lema wa arusha na Rev.Hon.Peter msigwa wa iringa kama watakuwepo jangwani sambamba na Dr wa ukweli na mbowe.ANAEJUA ATUJUZE.
Kuhusu Msigwa sina uhakika kama atakuwepo au la, maana jana alikuwa anahojiwa na radio Ebony ya Iringa akasema kwa sasa yupo Dar ila ana safari ya kuelekea USA. Kama safari yake itakuwa baada ya huo mkutano anaweza kuwepo Jangwani lakini kama safari ipo leo au kesho mapema basi hatakuwepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.