OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu !
Kwa taarifa nilizopata toka kwa Mawazo ni kuwa wamefanya mkutano mkubwa Hanang.
Huu ni muendelezo wa kuendelea kuwa elimisha Watanzania kuwa hapa ndipo ccm walitarajia kutufikisha.
Huu ndo ujumbe alio nitumia Kamanda Mawazo ktk simu yangu " NAMSHKRU MUNGU KWA KUNIPA UBONGO WA KUFIKIRI NA MKONO WENYE NGUMI YA KUPIGANA . ZAIDI SANA KWA KUNIPA SAUTI AMBAYO NAAMINI ITAWAKOMBOA WATANZANIA . SIKU SAUTI YANGU IKINYAMAZISHWA NA MAFISADI ,SAUTI ZA RISASI ZITAONGEA. ALPHONCE MAWAZO 19/11/2012. "
Kwa yeyote aliyeko huko tunaomba atujuze yaliyo jili na picha zaidi.
Kwa taarifa nilizopata toka kwa Mawazo ni kuwa wamefanya mkutano mkubwa Hanang.
Huu ni muendelezo wa kuendelea kuwa elimisha Watanzania kuwa hapa ndipo ccm walitarajia kutufikisha.
Huu ndo ujumbe alio nitumia Kamanda Mawazo ktk simu yangu " NAMSHKRU MUNGU KWA KUNIPA UBONGO WA KUFIKIRI NA MKONO WENYE NGUMI YA KUPIGANA . ZAIDI SANA KWA KUNIPA SAUTI AMBAYO NAAMINI ITAWAKOMBOA WATANZANIA . SIKU SAUTI YANGU IKINYAMAZISHWA NA MAFISADI ,SAUTI ZA RISASI ZITAONGEA. ALPHONCE MAWAZO 19/11/2012. "
Kwa yeyote aliyeko huko tunaomba atujuze yaliyo jili na picha zaidi.