Lema, Mbunge anayekitia chama hasara

Not easy layman best you stay away with ua political propaganda and uchwara of uccm and not necessary once u receive 3/5k u must write or talk pumba as propesa pumba rt??????
Better you know information confidentiality
leta hoja, sio ulete broken english
 
Habari za asubuhi wa JF

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Lema mbunge wa Arusha ametiwa kizuizini kwa upuuzi wa kukosa hekima. Inawezekana nimetumia neno gumu lakini mtu anaposhindwa kusimamia jambo pasipo sababu au kwa makusudi ni mpuuzi.

Hoja ni hii, jopo la mawakili 6 linalosimamia kesi linalipwa kwa mchanganuo huu:-
posho za kila siku @ 100000*6
gharama za usafiri @ siku 50000* siku kesi itakapo isha.
Ukitafuta jumla ya siku 7 ambayo kesi imetanjwa inafanya Tsh ( 600000*7) +(50000*7)=5.85milions
nakesi bado inatajwa.

Hizi pesa hazikuwa na ulazima wowote wa kutumika kama sii upuuzi wa Godbless Lema kutumia mdomo wake vibaya. Jamaani tulione hili kiuzalendo, ruzuku za chama ni pesa za walipa kodi zinaniuma sana.

CHADEMA tambueni pesa za wananchi ni kwa ajili ya maendeleo, tuzitumie vizuri
Mkuu kuna mchango uliandika: "sasa hivi wanatamba mtaani na hoja ya Wabunge wa CCM kugawana pesa kwenye vikao vyao, unajiuliza hivi hizi hoja za jirani kala nini zinakuhusu nini wewe kama jirani?? (chamilo nicolous JF-Expert Member #70 Yesterday at 7:47 AM)"
 
Habari za asubuhi wa JF

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Lema mbunge wa Arusha ametiwa kizuizini kwa upuuzi wa kukosa hekima. Inawezekana nimetumia neno gumu lakini mtu anaposhindwa kusimamia jambo pasipo sababu au kwa makusudi ni mpuuzi.

Hoja ni hii, jopo la mawakili 6 linalosimamia kesi linalipwa kwa mchanganuo huu:-
posho za kila siku @ 100000*6
gharama za usafiri @ siku 50000* siku kesi itakapo isha.
Ukitafuta jumla ya siku 7 ambayo kesi imetanjwa inafanya Tsh ( 600000*7) +(50000*7)=5.85milions
nakesi bado inatajwa.

Hizi pesa hazikuwa na ulazima wowote wa kutumika kama sii upuuzi wa Godbless Lema kutumia mdomo wake vibaya. Jamaani tulione hili kiuzalendo, ruzuku za chama ni pesa za walipa kodi zinaniuma sana.

CHADEMA tambueni pesa za wananchi ni kwa ajili ya maendeleo, tuzitumie vizuri

Kwani kunatatizo gani kama wanachama tumekubaliana nalo.Kaa pembeni tuachie chama chetu
 
Habari za asubuhi wa JF

Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Lema mbunge wa Arusha ametiwa kizuizini kwa upuuzi wa kukosa hekima. Inawezekana nimetumia neno gumu lakini mtu anaposhindwa kusimamia jambo pasipo sababu au kwa makusudi ni mpuuzi.

Hoja ni hii, jopo la mawakili 6 linalosimamia kesi linalipwa kwa mchanganuo huu:-
posho za kila siku @ 100000*6
gharama za usafiri @ siku 50000* siku kesi itakapo isha.
Ukitafuta jumla ya siku 7 ambayo kesi imetanjwa inafanya Tsh ( 600000*7) +(50000*7)=5.85milions
nakesi bado inatajwa.

Hizi pesa hazikuwa na ulazima wowote wa kutumika kama sii upuuzi wa Godbless Lema kutumia mdomo wake vibaya. Jamaani tulione hili kiuzalendo, ruzuku za chama ni pesa za walipa kodi zinaniuma sana.

CHADEMA tambueni pesa za wananchi ni kwa ajili ya maendeleo, tuzitumie vizuri


Mnajitahidi kueneza propaganda
 
Lema ajifunze siasa za kistaarabu na kutumia akili kama John Mnyika... Elimu, Elimu, Elimu.....
 
Demokrasia ina gharama kubwa.Maadamu watanzania tumekubali mfumo wa vyama vingi sioni tatizo kugharamia matumizi ya vyama na wanachama wake.
Unazungumzia demokrasia gani kamanda.kama ndani ya chadema tu demokrasia imeshindikana itawezekanaje ya kutafuta nje ya hapi. Ni ujinga
 
Nonsense mbona jamkumwambia mzee Mandela namna hiyo? Mbona jamkumwambia mwalimu namna hiyo,?
 
Mkuu kuna mchango uliandika: "sasa hivi wanatamba mtaani na hoja ya Wabunge wa CCM kugawana pesa kwenye vikao vyao, unajiuliza hivi hizi hoja za jirani kala nini zinakuhusu nini wewe kama jirani?? (chamilo nicolous JF-Expert Member #70 Yesterday at 7:47 AM)"
malipo haya ni matokeo ya ruzuku ambazo ni kodi za walala hoi, siwezi kuvumilia kuona zinatumika kihorera kwa mtu mpuuuzi
 
malipo haya ni matokeo ya ruzuku ambazo ni kodi za walala hoi, siwezi kuvumilia kuona zinatumika kihorera kwa mtu mpuuuzi
Umejibu vizuri sana ukiacha hiyo angle ya upuuzi, hivyo hivyo kama CCM wanagawana hela kiholela kwenye vikao vyao na CCM inapata ruzuku ni sawa basi watu kuhoji hata kama hayo yanatokea nyumba ya jirani.
 
Hiyo gharama ya mahakama ni zipi kwani kazi zinavyofanywa na watumishi wa mahakama ni waajiliwa wa serikali ukizingatia posho zote zimefutwa na mheshimiwa!

Huo muda wanaotumia kushughulikia kesi hii sio gharama? Huo muda ungetumika kutatua mrundikano wa mahabusu masikini wa kesi za kuku (ambao ndio majority) isingekuwa manufaa zaidi kwa nchi yetu?
 
Back
Top Bottom