Mpaka anyooke !Ngoja dunia imfunze adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka anyooke !Ngoja dunia imfunze adabu
Very very mistake lema 2020 atarudi kwa tsunami la kuraserikali imekosea sana, hii itapaisha sana upinzani maana sasa Lema anaungwa mkono hata na vijana wa ccm
Eti ninyi ni wapinzani Act kichwa cha mwendawazimuTumia umoja na si wingi
Kama unavyonyooshwa wewe kupewa buku saba huku ukinunua credit kutetea mabwana zako na kukatwa 18% vatanyooshwe tu hakuna namna.
Ya kweli haya? Au maneno ya kuanua ngoma juani??Tuko pamojah Lema tunakuamini sisi wana wa A Town utatutumikia hata kama uko gerezani na 2020 tutakuchagua hata kama uko gerezani
swissme
AtaliDU mpaka February ni mbali sana,hivi mshahara atakuwa analipwa wa ubunge?
serikali imekosea sana, hii itapaisha sana upinzani maana sasa Lema anaungwa mkono hata na vijana wa ccm
Kwa mifano mingi iliyopoduniani,hiyo haijwahi kuwa dawa sahihi!Ngoja dunia imfunze adabu
Matambala ya deki.Tuko pamojah Lema tunakuamini sisi wana wa A Town utatutumikia hata kama uko gerezani na 2020 tutakuchagua hata kama uko gerezani
swissme
Tumia umoja na si wingi
Awaaga ndugu zake na familia yake na mtoto wake......
Asema hakuna haja ya kuangaika na kesi isiyosimamiwa na mahakama Bali inasimamiwa na dola .
Asema mawakili wapumzike mpaka dolla litakapoamua kuachiwa kwake.
Imekuwasha hiyo!Hopeless argument from a hopeless mind.
Lema ni Mandela dhidi ya kaburu chama gamba akitoka tumbadili jina lema = mandelamtakubaliana tu,na sisi kina gogo la shamba pale tuliposema kwamba,Lema amejiwekea sifa kubwa sana kuwa miongoni mwa viongozi wanaotetea haki duniani, huyu atafananishwa na Mandela