Lema: Mawakili msihangaike tena

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,841
5c79cef4b2ff1410c58e762a0a8a2c2d.jpg


Awaaga ndugu zake na familia yake na mtoto wake.

Asema hakuna haja ya kuangaika na kesi isiyosimamiwa na mahakama Bali inasimamiwa na dola .

Asema mawakili wapumzike mpaka dola litakapoamua kuachiwa kwake.
 
DU mpaka February ni mbali sana,hivi mshahara atakuwa analipwa wa ubunge?
 
Always nasema hapa serikali inafanya big big mistake kumuwek huyu jamaa ndani maana kama hawaoni basi watakuja kuona kama kweli au lah....maana kwa jinsi hali ilivyo sasa hivi hapo watu hawajafurahi kbisaa mahakama kufata sheria za mtu binafsi.....
 
Back
Top Bottom