Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Japo nilikuwa namuona Mhe. Godless Lema kama kichwa Nazi fulani kutokana na ule utumbo wake humu dhidi ya ZZK, naomba kukiri wazi Mhe. Godless Lema ni Kiboko!.
Sakata lenyewe lilianza hivi!,
Mhe. Ole Medeye ameomba muongozo wa spika kuwa Mhe. Godless Lema, amemtolea matamshi ya uongo kuwa yeye ni mbaguzi wa Wachagga kushika uongozi Arusha, hivyo matamshi hayo yamemdhalilisha na Kimvunjia heshima, yeye na familia yake, akaomba muongozo wa spika Mhe. Lema athibitishe kauli hizo za kibaguzi Ole Medeye alizitoa lini na wapi ?.
Naibu Spika, Mhe. Ndugai akasema kwa vile Mhe. Lema yupo analolote la kujibu!. Kiukweli hili lilikuwa kosa!, ni kama kichaa kapewa rungu na hapo hapo akatwanga!. Kama Waziri Magembe ni mzigo!, Ole Medeye ni bomu la hatari sana linalosubiri kulipuka!. Ni mbaguzi mkuu!, DVD zipo kwenye U-Tube (angalia video hapo juu).
Ukumbi kimya!.
Prof. Maghembe naye akaomba muongozo wa spika kwa nini Mhe. Lema amemtaja?!. Naibu Spika akampa tena Lema fursa ya kujibu!, hili ni kosa jingine, Mhe. Lema akapiga nyundo nyingine ya kichwa kwa Prof.Maghembe bila kupapasa wala kumungunya, kuwa Katibu Mkuu wa CCM na Mwenezi wa CCM ndio waliomtaja yeye Maghembe kuwa ni mzigo na CC ya CCM imeisha muita kumhoji!. Akasisitiza kama Maghembe ni mzigo, Ole Medeye ni bomu la hatari sana linalosubiri kulipuka!.
My Take.
Nimemkubali Mhe. Lema!, ni very bold, a dare devil, ambaye hamungunyi maneno he just call a spade a spade!.
Naomba kuwasilisha.
Pasco
Japo nilikuwa namuona Mhe. Godless Lema kama kichwa Nazi fulani kutokana na ule utumbo wake humu dhidi ya ZZK, naomba kukiri wazi Mhe. Godless Lema ni Kiboko!.
Sakata lenyewe lilianza hivi!,
Mhe. Ole Medeye ameomba muongozo wa spika kuwa Mhe. Godless Lema, amemtolea matamshi ya uongo kuwa yeye ni mbaguzi wa Wachagga kushika uongozi Arusha, hivyo matamshi hayo yamemdhalilisha na Kimvunjia heshima, yeye na familia yake, akaomba muongozo wa spika Mhe. Lema athibitishe kauli hizo za kibaguzi Ole Medeye alizitoa lini na wapi ?.
Ukumbi kimya!.
Prof. Maghembe naye akaomba muongozo wa spika kwa nini Mhe. Lema amemtaja?!. Naibu Spika akampa tena Lema fursa ya kujibu!, hili ni kosa jingine, Mhe. Lema akapiga nyundo nyingine ya kichwa kwa Prof.Maghembe bila kupapasa wala kumungunya, kuwa Katibu Mkuu wa CCM na Mwenezi wa CCM ndio waliomtaja yeye Maghembe kuwa ni mzigo na CC ya CCM imeisha muita kumhoji!. Akasisitiza kama Maghembe ni mzigo, Ole Medeye ni bomu la hatari sana linalosubiri kulipuka!.
My Take.
Nimemkubali Mhe. Lema!, ni very bold, a dare devil, ambaye hamungunyi maneno he just call a spade a spade!.
Naomba kuwasilisha.
Pasco
Last edited by a moderator: