Acha propaganda chafu wewe.Hizo mbinu wazijua wewe Marekani nani kskwambia wana michezo ya kijinga hivyo?Angalieni umaskini wenu siyo sifa kujilinganishia mahali ambapo hamfananii hata chembe.Siasa zenu chafu siyo za nchi zilizoendelea.Kwa hiyo usiwadanganye watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.