assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
ni ushauri ukufikie hapo kisongo.
jifunze alivoambiwa shein na magufuli issue ya maalim seif
jifunze yanayotokea bukoba
jifunze waliovunjiwa hananasif na sasa kivule
jifunze wanayofanyiwa cuf dhidi ya bwana yule.
chukua tahadhari, najua unssoma kitabu cha Mandela kuhusu ile safari ndefu kuelekea Uhuru
siku zote nakupinga ila kwa utawala huu solidarity ni muhimu.
just reflect sir.
jifunze alivoambiwa shein na magufuli issue ya maalim seif
jifunze yanayotokea bukoba
jifunze waliovunjiwa hananasif na sasa kivule
jifunze wanayofanyiwa cuf dhidi ya bwana yule.
chukua tahadhari, najua unssoma kitabu cha Mandela kuhusu ile safari ndefu kuelekea Uhuru
siku zote nakupinga ila kwa utawala huu solidarity ni muhimu.
just reflect sir.