nitacheka ataposhindwa kucontrol nguvu ya umma the country is very fligile for this nosense yaani kata tu munataka kutoa watu rohoHakuna cha kuchimbika wala kuchimbuka. Polisi mkamateni huyo Lema ajieleze vizuri. Hawezi kukurupuka tu na kuanza kulishutumu jeshi la polisi. Haiwezekani na haivumiliki kamwe.