Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Poleni sana Chadema kwa yote, japo suing mkono any persecutions you suffer, pia sifurahishwi na zile persecutions mnazowafanyia, wale msiokubaliana nao ndani ya nyumba yenu, ila msijali kwa sababu hapa duniani ni mapito tuu, wote tuko safarini, hivyo ukiwaondoa wale tuu watakaookolewa kwa neema, wengine wote na kila mmoja wetu, atahukumiwa kwa matendo yake, kupitia kitu kinachoitwa karma, and its for real!, hao wote wayatendao maovu, wote watalipwa malipo sawia kwa uovu wao, ila nanyi pia, msikute hayo ni sehemu tuu ya malipo yenu!.Nimepata taarifa kwamba ninatafutwa na Jeshi la Polisi Arusha kwa maelekezo kutoka juu.
Tusikate tamaa , baada ya giza nene asubuhi utokea .
Godbless J Lema (MB)
Poleni!.
Paskali
Uamuzi wa CHADEMA dhidi ya madiwani: "A Big Mistake!" | Page 6 ...
Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki ...
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili ...
Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau ...
CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...