Lema awasha moto Igunga

Duh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?

Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...

Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!

wewe utakuwa umetumwa na Msekwa, si haba. teh teh teh.
 
Duh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?

Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...

Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!

Location : Dar es salaam, Tanzania
halafu mheshimiwa kwa nini hukai jimboni kwako? barabara hazipitiki? hadi 2015 tenaaa , teh teh teh !! ccm bwana wana vijimambo kweli kweli!!!!!1sio lazima kujibu hili swali,coz ukilijibu tu ,lazima unidanganye so bora usijibu.
 
Duh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...
Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!

Hii ni pumba takatifu!
 
Hii ni pumba takatifu!

mchungaji sio vizuri kutoa maneno kama haya kwa mheshimiwa mbunge.mpe mipoint and facts aende akawahadithie wenzake coz huyu ni mmoja kati ya wabunge zaidi ya 200 wa ccm anayeweza kubrowse hapa JF bila wasiwasi.wengine wote chali.
 
ni nani huyu katika maslahi ya taifa.?

Naombeni CV yake.[/QUOTE

kuna thread ina cv yake itafute'

kwa ile thread nadhani hata Slaa akiishika CV ya lema atakuwa anapatwa na kichefuchefu, kwanza mbunge wangu Zitto hawezi hata kuishika CV ya mhuni kama lema. Kwa udhaifu wa CV yake ndio maana hata mkijaribu kumpandisha still anachea, yaani inakuwa kama vile mnyika umvishe suruali ya pepekaleeee.
 
Duh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?

Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...

Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!

watch ur words! lazima kuwe na viongozi wa kuongoza mapambano.. na hicho chama unachoongelea wewe hakikuanza na hao unaowataja hapo so as hicho chama chenu cha wezi na wasiokua na huruma na wananchi

kuhusu think tanks nadhani unajua wapi wapo think tanks waliobobea na wanaowapeleka puta mpaka mshindwe kulala usingizi

tatizo la vijana wa siku hizi mnajali matumbo yenu tu na umaarufu mtu kama wewe unatakiwa uwe mfano wa kuigwa kwa vijana kwa kuendesha siasa za kisasa lakini naona bado unaiga siasa za kina makamba!!! grow up and start acting like a true politician usiige siasa za wazee
 
Duh, hiki chama chenu kazi kwelikweli! Chama kinaongozwa na umaarufu wa mtu, kilianza na Mbowe na helikopta zake, baadaye Zitto na Buzwagi yake, Slaa na ufisadi, sasa Lema na Mauaji yake ya Arusha...sijui hawa wakihama au wakisaliti kutatokea nini?

Hamjifunzi tu? Tengenezeni mfumo na mjenge misingi ya chama chenu na siyo kutegemea characters/personalities! Those they come and go...

Hakuna think tanks huko wakawashauri? Tumieni hata ruzuku basi mtafute consultant basi awashauri!

Kilaza hata akibebwa habebeki,

WAMA/Ikulu wamekubeba ukapata ubunge nzega, umeitisha maandamano kwenda mgodini resolute wananchi hawakujitokeza baada ya kugundua janja yako kwamba unawapotezea muda kwakuwa serikali yako ndiyo imewagawia bure mgodi tena bila kuzingatia maslahi ya wananchi wa nzega. kama Lema anaweza kutoka arusha akaitisha maandamano nzega wananchi wakajitokeza kwa wingi kumsikliza na wakati huo huo wananchi hao hao hawajitokezi kumsikiliza "mbunge wao" huoni hata aibu japo kidogo??

Hata nilipokuona ukitoa maoni kuhusu mswada wa mapitio ya katiba 2011 pale startv na kitu ulichoandika hapa ni uthibitisho tosha kwamba nzega wamelamba galasa, wasubiri tu 2015 kutafuta muwakilishi mwingine. Sijui kama hadi 2015 wama/jk watakuwa na uwezo wa kukubeba tena!!
 
Sikonge Mkuu ni kama Kaliua. Inabidi watembelee si Wilaya tu bali wafike hadi walau kwenye TARAFA zote za Sikonge ili kuwasha moto maana SIKONGE kwa kweli, kama Tabora yenyewe iko nyuma, basi SIKONGE sijui tusemeje.

Heri ya walau KALIUA ina Kapuya family na utajiri wao ila SIKONGE, zaidi ya kuwa na wasomi wazee wachache kama Balozi Chokala, Ex-Jaji Mfwalila, Yongolo, Kanumba, Kattala, families na nyingine chacheeee, Sikonge ndiyo haina kitu.

Mbunge wetu ni Mwalimu wa darasa la TATU shule ya Msingi sasa sijui ataongea nini akifika bungeni............

Sikonge kunahitajika kuchimbike hasa kwenye Bongo za watu......... KARIBUNI CHADEMA.

huyu jamaa yenu naye kapotezwa nini? kwa vile aligombea na jk?
 
ni nani huyu katika maslahi ya taifa.?

Naombeni CV yake.


Maslahi ya taifa ni kuliibia hili taifa na huyu jamaa bado hajafikia hapo kwahiyo huwezi kupata cv yake mpaka hapo atakapokuwa na maslahi kwa taifa. LEMA BIGUP baba, washa moto wafungue masikio hao waelewe haki na hatima zao kimaisha, hakuna kulala
 
Nimwendo wakuivisha ccm magamba tu mpaka ishindwe kutembea,natabia ya kuwalisisha watoto wao madaraka ya chama.LEMA mwendo mdundo kuwaamsha WATANZANIA mpaka kieleweke.Leo RA aachwe wazi na birthday suti tu.
 
Wekeni picha jamani,mbona haina gharama yoyote mnashindwa kutupa full events,jitahidini wapambanaji kutupa news zilizo kamilika,sio mpaka mtu uwe na kamera hata simu inatosha.asanteni kwa kutupa habari za ukombozi wa tanganyika,
 
Kigwangala,

Kama wewe kweli ni Mbunge wa Nzega, basi ningeliomba sanasana muanzishe tena ile mikutano ya watu wa Tabora ili kujadili nini kifanyike kusaidia mkoa wetu wa Tabora.

Wanyamwezi tunasema "Mmulika nyoka usiku, huanzia miguuni.........." Sisi Wanyamwezi tumegeuzwa kuwa Chambio la mafisadi kwa kuwapa kura na wanaondoka na pia CCM huwapa viongzi wanaotoka Tabora VISENTI kama mababu zetu walivyopewa Heleni, Bangili, shanga (wambo), Vioo, na vitakataka vingine.

Ulipotaka kuwasha moto wa Mgodi, wengi wetu tulikusifu ila kumbe sijui ilikuwa nguvu ya soda?

Mwenyewe unajua kuwa Watu wa Tabora walikandamizwa sana wakati wa Nyerere kwa kuwashughulikia vijana machachari enzi hizo ambao walikuwa wakimpinga sana Nyerere. Kutokana na kushughulikiwa kwa watu hao, Wanyamwezi wamekuwa waoga hata kumuogopa kunguru.

Hapa Sikonge, mtemi Lugusha alikuja kupewa kifungo cha nyumbani. Alipokuja kuruhusiwa, hata akili zake zikawa zimepitwa kwa mambo mengi na akaishia kuwa kituko tu bungeni. Kasanga Tumbo na yeye alikuwa kifungoni kwao Ipole. Chief Fundikira alikimbilia Kenya na aliporudi hakufahamu hata kinachoendelea Tanzania.

Kusoteshwa kwa hawa watu kuliwafanya Wanyamwezi wanywee na tangu hapo tumekosa kabisa sifa za WAJUKUU WA MIRAMBO.

Baadaye wamekuja kupandikizwa watu kadhaa ambao sijui hata wamekuwa wakifanya vitu kwa kuwasaidia Wanyamwezi au kama Usalama wa taifa ili kuonyesha jinsi Wanyamwezi tusivyo na akili.
1. Huwezi kusifia alichofanya Sitta kwa kujenga ofisi ya Spika Urambo kwa mahela mengi. Alikosa kitu cha maana cha kufanya na hizo hela ili kusaidia watu wa Urambo/Tabora?
2. Juma Kapuya na mtoto wake. Wewe Prof. mzima unakesha kwenye pekechapekecha na vijukuu vyako unakata viuno(mkimbili)? Mtoto wake Baraka ananyanyasa watu wa Kaliua utafikiri wamekuwa mali yake? Ila mtu kama huyu ndiyo anapewa kuwa Waziri ili kuwaziba wanyamwezi mdomo kuwa mbona tumewapa waziri.
3. Wewe mwenyewe huna meno ya kuuma kwa sababu inajulikana kabisa umesoma kwa kutumia jina la mtu mwingine. Ukiwaletea maneno mengi CCM, watakubeba na maji. Ila wewe ndiyo umeonekana unafaa zaidi kuwa mbunge maana WAMEKUSHIKA HATAMU.
4. Mbunge wa SIKONGE mwalimu wa darasa la pili, ovyo kabisa..............
5. Tatu Ntimizi miaka kibao alikuwa akibebwa, kisa tu awe karibu na Mzee wa Kigogo........... etc etc etc.....

-Hii ndiyo TABORA yetu Mami Kingwangalla. Tunawasindikiza wenzetu wanaopeleka kwao kila kitu na sisi kubaki na makombo. Mapipa ya Lami pale Tabora Airport, alikuja Prof. Mwandosya na kuyabeba kuyapeleka Mbeya na huko liuwanja la ndege limemshinda hata kumaliza. Sasa tumekosa wote na huyu Mwandosya bado ni Waziri.
-Kiwanda cha kuchambulia tumbaku, jinga moja lilipewa pesa na likaruhusu kijengwe Morogoro, sijui taahira gani hili.
-Kiwanda cha nyuzi, hoi. Kiwanda cha asali marehemu. Kiwanda cha ..................................

Hii ndiyo NTOVOLA yetu Mami, na sisi tupo hapa kushindania CCM VS CHADEMA.

Inabidi tupige hatua kadhaa mbele na kuacha kuangalia hadi mwisho wa PUA zetu. Wakiwa mikoa mingine, acha watukanane ila wakija TABORA, lazima tupime mabaya na mazuri na kuanza kuangalia je sisi Wanyamwezi tunafaidika vipi na CCM au chadema au CUF au .....

Kama hatufaidiki, basi sina hamu na chama chochote. Kama kuna chama kinanipigania, hata kama ni cha Mrema, basi ntakichagua. Wenzetu Wasukuma, Wachaga na Wanyakyusa kidogo wako mbali sana na hao ndiyo wapinzani wakubwa wa CCM. Kwao kuna lami hadi vijijini. Kama huamini basi angalia miji kama Kyela, kuna lami hadi Ziwani na huku barabara nyingine ikienda hadi mpakani ya LAMI. Damn, lami hadi Wilayani na Tabora, hata barabara ya kutoka Dar kupitia hapo kwako NZEGA, ije iingine Tabora, hakuna LAMI. Umeme wa kuokoteza na leo tunakaa na kuangalia Chadema ina sura gani au Ufisadi wa CCM................

Narudia tena, sisi Wanyamwezi tuamke na tuanze KUMULIKA NYOKA MIGUUNI KWETU KWANZA.
 
du kweli cdm inaishiwa sera sasa. Sasa mpambanaji siyo slaa tena?!!! Imekuwaje mbona mwashangaza, mtu aliyetaka milango ifungwe ngumi zipigwe watanzania wakakerwa na upuuzi wa aina hiyo ya muwakilishi,leo ndio cdm mnamnadi eti ni mpambanaji. Ajabu ya siku


cdm wote ni wanajeshi wa ukombozi.
Bila mbinu za kivita wezi na mafisadi wa chama cha majambazi hawataondoka kamwe!
 
kamanda mpambanaji mh. godbless lema leo majira ya saa tisa mchana atawasha moto igunga baada ya jana kuwasha moto nzega.

ila leo mheshimiwa sana dr slaa, maberemarando , mpendazoe, wataungana na LEMA pamoja na kilewo kule igunga kuwasha moto.

akiongea na vijana asubuhii hapa igunga kamanda kilewo amesema wabunge wengine wa chama hicho wanapaswa kumuiga lema kwani ubunge siyo pozi bali nikuwa karibu na jamii na sasa lema yupo karibu na jamii ndiyo maana hata yeye hupenda kuambatana naye kufanya shughuli za ukombozi ili kila mtanzania aelewe wajibu wake katika taifa.

naye lema akaongeze yakuwa hawakuja nzega wala hawaendi igunga kumfurahisha mtu au kumkasirisha mtu bali wapo kwaajili ya kuongea ukweli na ukweli ndiyo slaa pekee ya ukombozi , akasema dr yupo njiani kuja kuongeza nguvu komaeni makamanda msiongope.
Hao akina lema ni wanaharakati maana Kila mbunge ana eneo lake akaongee kwenye jimbo lake aache usanii wakati huu ni wa kuwatumikia
Wananchi na sio wakati wa kufanya brabra umekwisha chadema acheni usanii fanyeni kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom