Uchaguzi 2020 Lema ashtushwa na mpango wa msimamizi wa uchaguzi Arusha kubandika wapiga kura hewa laki 1

Sio kuwakemea mtu mkuu, bali ni kuchukua tu sheria mkononi. Tume ndio wanaotumika na ccm kunajisi uchaguzi. Na haya ni maagizo ya rais ili kulazimisha ionekane anakubalika. Machafuko tu ndio suluhu ya hizi tabia za viongozi wa kiafrika.
Hiyo Dawa,machafuko Kenya yalifanya moi aka surrender. Huwezi UA wananchi wote.
 
Sio kuwakemea mtu mkuu, bali ni kuchukua tu sheria mkononi. Tume ndio wanaotumika na ccm kunajisi uchaguzi. Na haya ni maagizo ya rais ili kulazimisha ionekane anakubalika. Machafuko tu ndio suluhu ya hizi tabia za viongozi wa kiafrika.
Jitokeze wewe mwenyewe acha kujificja nyuma ya keyboard!
 
Ni kweli kabisa. Ila hata shinda Lissu. Huoni kwamba unapoteza kura yako kwa mtu ambaye hawezi kushinda hata jua litoke usiku?.
Maana ya uchaguzi ni kutoa kura yako kwa mtu aliyekuvutia na kumnyima asiyekuvutia.
 
na kwann wameongeza laki moja tu, wangefanya angalau 500K, cha msingi ili lichama lifutwe tu tupate upinzani kutoka vyama vingine ikiwezekana waungane
Naona mkiwa kwny harakati za kuomba kura.
Ek7pzeAWkAAjQ9o.jpg
 
Hujui wachaga wewe mwambie aende kwa wagogo Dodoma
Sisi Ndio Wasomi na watu wenye uchumi nchi hii
Proudly Chaggas
Hizi dharau ndo zinaniuzi mimi... sasa Wahaya watasemaje nao? Vipi kuhusu Wamakonde nao wakija na chakujisifu nacho? Au vipi huko Dodoma Wagogo wakajivunia kitu fulani wewe utaambulia nini?
 
Hizi dharau ndo zinaniuzi mimi... sasa Wahaya watasemaje nao? Vipi kuhusu Wamakonde nao wakija na chakujisifu nacho? Au vipi huko Dodoma Wagogo wakajivunia kitu fulani wewe utaambulia nini?
I don't know about others
I know and proud for what we are🤑🤑🤑
 
Akiongea na Vyombo Vya Habari katika Ofisi za jiji la Arusha wakati akiwasilisha malalamiko yake kwa Mkurugenzi msaidizi wa uchaguzi dkt John Pima ,Mgombea Ubunge wa jimbo la Arusha Mjini chadema,Godbless Lema amedai kushtukia mpango uliosukwa wa kuongeza majina hewa ili kukipa ushindi Chama cha mapinduzi.

Akiongea kwa uchungu huku akilengwalengwa na machozi ,Lema amesema awali wapiga kura kwenye daftari la kudumu jimbo la Arusha mjini walikuwa zaidi ya laki 240 lakini Jana wameshangaa kuona kwenye daftari hilo kuna wapiga kura zaidi ya laki 370 ikiwa ni ongezeko la wapiga kura hewa zaidi ya 100 .

Lema amesema baada ya kumuuliza dkt. Pima ameshindwa kutoa ufafanuzi badala yake aliwatuliza viongozi wa chadema na kuwataka wafike Ofisini kwake ili atoe ufafanuzi.

Hata hivyo Lema amesema Chama chake kimejipanga kuandika barua ya malalamiko kwa Mkurugenzi wa uchaguzi NEC ,dkt Wilson Mahera kupeleka kilio chao

Amesema ameshutushwa pia na hatua ya Mgombea wa ccm,Mrisho Gambo kwenda kuomba kura kwa wanafunzi wa sekondari ambao alidai ndio wametayatishwa kupiga kura siku ya uchaguzi jambo ambalo aliwaonya Wazazi wao kutowaachia watoto wao waliochini ya miaka 18 kushiriki mchezo huo mchafu wakati hawakujiandikisha kuwa wapiga kura.

Halikadhalika amesema kuwa ameshangaa katika Ofisi ya Mkurugenzi kumkuta mkuu wa wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi na DSO wakichambua fomu za mawakala jambo ambalo mkuu wa wilaya hahusiki kabisa na suala la uchaguzi na kudai kuwa kuna mpango wa maksudi wa kuhujumu mawakala wao.

Hata hivyo waandishi wa Habari waliofurika katika Ofisi za jiji la Arusha kutaka kupata ufafanuzi wa tuhuma hizo kwa dkt Pima msimamizi msaidizi wa uchaguzi, alikataa kutolea ufafanuzi jambo hilo huku akiahidi kuita wanahabari kwa muda wake.

"Nitawaita wakati mwingime nitaonga na nyingi si jambo hili tu nitawaeleza na mengine yanayohusi uchaguzi" alisema huku akiingia Ofisini kwake.View attachment 1608588
Washenzi sana hawa jamaa
 
na kwann wameongeza laki moja tu, wangefanya angalau 500K, cha msingi ili lichama lifutwe tu tupate upinzani kutoka vyama vingine ikiwezekana waungane

Kwani hivyo vyama vingine unavyoona ni bora ni kipi kinafanya visianze? Au formula ni lazima cdm ife kwanza ndio hivyo vyama pandikizwa vianze?
 
Yaani NEC wanamaanisha jiji la Arusha kila mwaka kulikuwa na ongezeko la wapiga kura wapya 25,000, yaani ni sawa kila mwezi kuna wapiga kura wapya 2000 na kila siku 40? Na DC mchakato wa viapo anahusikaje?
 
Back
Top Bottom