Wa kupuuzwa
Member
- Oct 2, 2020
- 94
- 63
"Machozi yakimlenga lenga" Aisee ubunge mtamu aisee
Hiyo Dawa,machafuko Kenya yalifanya moi aka surrender. Huwezi UA wananchi wote.Sio kuwakemea mtu mkuu, bali ni kuchukua tu sheria mkononi. Tume ndio wanaotumika na ccm kunajisi uchaguzi. Na haya ni maagizo ya rais ili kulazimisha ionekane anakubalika. Machafuko tu ndio suluhu ya hizi tabia za viongozi wa kiafrika.
Jitokeze wewe mwenyewe acha kujificja nyuma ya keyboard!Sio kuwakemea mtu mkuu, bali ni kuchukua tu sheria mkononi. Tume ndio wanaotumika na ccm kunajisi uchaguzi. Na haya ni maagizo ya rais ili kulazimisha ionekane anakubalika. Machafuko tu ndio suluhu ya hizi tabia za viongozi wa kiafrika.
Vituo hewa Mwanza
Uhuni na Wizi wa Kura tunaendelea kuwaumbuaJitekenye tu na mavazi yako ya mgambo!
Naona unajaribu kuwaokoa tume na makando kando yao....Tume iwakemee watendaji wa mikoa, wilaya wanaojaribu kuvuruga uchaguzi.
Maana ya uchaguzi ni kutoa kura yako kwa mtu aliyekuvutia na kumnyima asiyekuvutia.Ni kweli kabisa. Ila hata shinda Lissu. Huoni kwamba unapoteza kura yako kwa mtu ambaye hawezi kushinda hata jua litoke usiku?.
Yaani Lema anakata rufaa kwa mahera wa NEC huku akitegemea miujiza?CHADEMA mnalia lia sana.Ifike mahali mchukue hatua sasa
Naona mkiwa kwny harakati za kuomba kura.na kwann wameongeza laki moja tu, wangefanya angalau 500K, cha msingi ili lichama lifutwe tu tupate upinzani kutoka vyama vingine ikiwezekana waungane
Tatizo nchi inaongozwa na wahuni na wagonjwa
Hizi dharau ndo zinaniuzi mimi... sasa Wahaya watasemaje nao? Vipi kuhusu Wamakonde nao wakija na chakujisifu nacho? Au vipi huko Dodoma Wagogo wakajivunia kitu fulani wewe utaambulia nini?Hujui wachaga wewe mwambie aende kwa wagogo Dodoma
Sisi Ndio Wasomi na watu wenye uchumi nchi hii
Proudly Chaggas
Africa kuna demokrasia ya kuchonga chonga tu ili kuombea misaada na mikopo.Afrika bado sana kila kitu tupo nyuma zulma kila mahali! inawezeka laana ilihusika
Urais ndio balaa mpk magoti yanapigwa."Machozi yakimlenga lenga" Aisee ubunge mtamu aisee
I don't know about othersHizi dharau ndo zinaniuzi mimi... sasa Wahaya watasemaje nao? Vipi kuhusu Wamakonde nao wakija na chakujisifu nacho? Au vipi huko Dodoma Wagogo wakajivunia kitu fulani wewe utaambulia nini?
Washenzi sana hawa jamaaAkiongea na Vyombo Vya Habari katika Ofisi za jiji la Arusha wakati akiwasilisha malalamiko yake kwa Mkurugenzi msaidizi wa uchaguzi dkt John Pima ,Mgombea Ubunge wa jimbo la Arusha Mjini chadema,Godbless Lema amedai kushtukia mpango uliosukwa wa kuongeza majina hewa ili kukipa ushindi Chama cha mapinduzi.
Akiongea kwa uchungu huku akilengwalengwa na machozi ,Lema amesema awali wapiga kura kwenye daftari la kudumu jimbo la Arusha mjini walikuwa zaidi ya laki 240 lakini Jana wameshangaa kuona kwenye daftari hilo kuna wapiga kura zaidi ya laki 370 ikiwa ni ongezeko la wapiga kura hewa zaidi ya 100 .
Lema amesema baada ya kumuuliza dkt. Pima ameshindwa kutoa ufafanuzi badala yake aliwatuliza viongozi wa chadema na kuwataka wafike Ofisini kwake ili atoe ufafanuzi.
Hata hivyo Lema amesema Chama chake kimejipanga kuandika barua ya malalamiko kwa Mkurugenzi wa uchaguzi NEC ,dkt Wilson Mahera kupeleka kilio chao
Amesema ameshutushwa pia na hatua ya Mgombea wa ccm,Mrisho Gambo kwenda kuomba kura kwa wanafunzi wa sekondari ambao alidai ndio wametayatishwa kupiga kura siku ya uchaguzi jambo ambalo aliwaonya Wazazi wao kutowaachia watoto wao waliochini ya miaka 18 kushiriki mchezo huo mchafu wakati hawakujiandikisha kuwa wapiga kura.
Halikadhalika amesema kuwa ameshangaa katika Ofisi ya Mkurugenzi kumkuta mkuu wa wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi na DSO wakichambua fomu za mawakala jambo ambalo mkuu wa wilaya hahusiki kabisa na suala la uchaguzi na kudai kuwa kuna mpango wa maksudi wa kuhujumu mawakala wao.
Hata hivyo waandishi wa Habari waliofurika katika Ofisi za jiji la Arusha kutaka kupata ufafanuzi wa tuhuma hizo kwa dkt Pima msimamizi msaidizi wa uchaguzi, alikataa kutolea ufafanuzi jambo hilo huku akiahidi kuita wanahabari kwa muda wake.
"Nitawaita wakati mwingime nitaonga na nyingi si jambo hili tu nitawaeleza na mengine yanayohusi uchaguzi" alisema huku akiingia Ofisini kwake.View attachment 1608588
na kwann wameongeza laki moja tu, wangefanya angalau 500K, cha msingi ili lichama lifutwe tu tupate upinzani kutoka vyama vingine ikiwezekana waungane