Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Zote hizo ni nadharia tu.Ni rahisi sana unachukua daftari la kupiga kura unalinganisha na orodha ya wapiga kura iliyobandikwa kwenye mbao kama idadi inalingana au la!! Ukikuta kuna majina ya wapiga kura kwenye mbao yameongezeka tofauti na kwenye daftari la kupiga kura ujue mmepigwa tayari,
Kuhusu vituo hewa,mawakala wote wanapewa orodha halali ya vituo vya kupigia kura ila ukikuta kuna kituo kimeongezwa ambacho hakipo kwenye orodha ya kupigia kura ujue hicho ni kituo hewa na kitatumia kutengeneza kura hewa ambazo zitaingizwa kwenye kujumlisha kura hapo nako ukiona hivyo vituo ambavyo havipo kwenye orodha ya vituo halali vya kupigia kura ujue tayari mmepigwaaaaaaaa