Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,986
- 2,768
Kumtishia mtu ni nini?Kuingilia uhuru wa Mahakama ni kosa kisheria na kikatiba. Mhe. Lema kama Mbunge ni mtunga sheria na anajua hivyo. Angekwenda mahakamani kumshitaki DPP badala ya kumtolea vitisho ambavyo, kisheria, vinazidi kumtia hatiani yeye mwenyewe. Pili, hili suala la kufuata fuata ni tuhuma ya ajabu kusemwa na Mhe. Lema. Yaani kwa vile ni Mbunge na Waziri Kivuli basi anafikiri anaweza kuvunja sheria na kubaki juu ya sheria?