Lema amekuwa mtamu kuliko Lisu - Bungeni Live

Washikaji pia walipiga kabang yako ndio maana umelegea makalio

Lema kweli ni mtamu ndo maana washikaji walimpiga Kabang na wanasema ni mtamu kweli..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Ni afadhali serikali ya makaburu South Africa kuliko unyama huu wa serikali ya JK dhidi ya watu walio mchagua!Aheri apartheid regime kuliko utawala huu wa JK!!

Kwenye facebook ya Zitto kaandika kuwa kuna Mama mmoja Wilayani Babati alilazimishwa afanye mapenzi na wakwe zake!Kule Mara kuna wanaume walilazimishwa kufanya mapenzi na mizoga ya wanyama!Kuna kipengele ndani ya ripoti kikitaja hadi majina waawake walikatwa katwa na viwembe!!!

Hii kweli ni TZ?Hapo ndipo tulipofikia?JJ Mnyika(MB) alituambia haya zamani kidogo"Udhaifu wa JK ndiyo umetufikisha hapa"
 
Ni afadhali serikali ya makaburu South Africa kuliko unyama huu wa serikali ya JK dhidi ya watu walio mchagua!Aheri apartheid regime kuliko utawala huu wa JK!!

Kwenye facebook ya Zitto kaandika kuwa kuna Mama mmoja Wilayani Babati alilazimishwa afanye mapenzi na wakwe zake!Kule Mara kuna wanaume walilazimishwa kufanya mapenzi na mizoga ya wanyama!Kuna kipengele ndani ya ripoti kikitaja hadi majina waawake walikatwa katwa na viwembe!!!

Hii kweli ni TZ?Hapo ndipo tulipofikia?JJ Mnyika(MB) alituambia haya zamani kidogo"Udhaifu wa JK ndiyo umetufikisha hapa"

hii stori imenifanya nidondoshe machozi,nimesikia uchungu sana,sijui tanzania inaelekea wapi,serikali isipowajibisha wizara husika ..... sijui nita...................
 
Lema kweli ni mtamu ndo maana washikaji walimpiga Kabang na wanasema ni mtamu kweli..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Umekosa malezi ya pande mbili. Ndio matatizo ya kulelewa na mzazi mmoja matokeo yake ndio haya majibu...pole kwa wanakutegemea.
 
Kababi hapa tunaongea hoja za kujenga Taifa sio unazi kama huo wa ....kabang..tutumie busara zaidi
 
Naona mnajaribu kutaka kulinganisha mlima na kichuguu!baada ya mchana Mtumzima kukongwa nyoyo za watanzania
 
Unajua Mapishi ya Chapati wewe Kabibi? Unajua Mapishi ya Samaki wee Kabibi? Naona Wanaume huwa tunakupika sana kama Chapati na kukukaanga kama Samaki - Ukiiva huku, tunakugeuza upande wa pili.

Watu wanajadili kuhusu mateso ya watu. Mwanamke kaingiziwa chupa ukeni, wewe unafanya mdhaha na Chilisosi wako. Mtu kaambiwa achore sijui Mamba kwenye Paja kwa kutumia wembe, wewe unafanya utani. Watu wameuawa na kuteswa vibaya mno na wengine kupoteza mifugo yao, wewe unacheka. Mungu mwenyewe atakuhukumu.
Lema kweli ni mtamu ndo maana washikaji walimpiga Kabang na wanasema ni mtamu kweli..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom