Lema allitumia weakness ya batilda kumuangamiza zitto bungen

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,002
Kama kuna mtu anaejuta dunian ni mama batilda buriani
wakati zitto kabwe akiwa ameshatoa alioyatoa huyu mama akaamkaa na kuomba
sheria ifwate kijana ahukumiwe kweli jamaa letu likaingia line mara kijana wetu akamtoa,

wakati lema anakampen alichukua muda mwingi kuwaeleza wananchi mnamjua zitto mnakumbuka huyu mama ndie aliechangia kumtoa zito bungen kwa nini mnataka kurudisha upupu ulitaka kufukuza kijana wenu ...watuu weeeweeee

hii ikawe fundisho kwa wabunge wa ccm na wengine kuropoka ropoka
 
Kama kuna mtu anaejuta dunian ni mama batilda buriani
wakati zitto kabwe akiwa ameshatoa alioyatoa huyu mama akaamkaa na kuomba
sheria ifwate kijana ahukumiwe kweli jamaa letu likaingia line mara kijana wetu akamtoa,

wakati lema anakampen alichukua muda mwingi kuwaeleza wananchi mnamjua zitto mnakumbuka huyu mama ndie aliechangia kumtoa zito bungen kwa nini mnataka kurudisha upupu ulitaka kufukuza kijana wenu ...watuu weeeweeee



hii ikawe fundisho kwa wabunge wa ccm na wengine kuropoka ropoka


Watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hatimaye akapata kura zao bila kujua wanamwingiza mhuni wa mtaani bungeni
 
Watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hatimaye akapata kura zao bila kujua wanamwingiza mhuni wa mtaani bungeni

TAFADHALI CHUNGA DOMO LAKO, **** KAMA WEWE UNA JEURI YA KUMUITA KIONGOZI WETU TULIEMCHAGUWA KIHALALI ETI NI MUHUNI WA MTAANI!!! UNA CHA KUCOMMENT KAA KIMYA.:rip::rip::rip:
 
Watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hatimaye akapata kura zao bila kujua wanamwingiza mhuni wa mtaani bungeni

Avant, jk na team yake ni wahuni wa wapi? Please tujuze na hili kwani unaonekana unawafahamu sana watu wewe. By the way, kamwambie ile pesa aliyosema Batilida atawalipia rent vijana wote Arusha akawahudumie watoto yatima vijana wa A town hawahitaji hiyo support ndio maana wamemtosa ubunge.
 
Walioiba kura za segerea, shy mjini. Kibaha,mbeya vjjn, n.k ndio wahuni.
 
Kama kuna mtu anaejuta dunian ni mama batilda buriani
wakati zitto kabwe akiwa ameshatoa alioyatoa huyu mama akaamkaa na kuomba
sheria ifwate kijana ahukumiwe kweli jamaa letu likaingia line mara kijana wetu akamtoa,

wakati lema anakampen alichukua muda mwingi kuwaeleza wananchi mnamjua zitto mnakumbuka huyu mama ndie aliechangia kumtoa zito bungen kwa nini mnataka kurudisha upupu ulitaka kufukuza kijana wenu ...watuu weeeweeee

hii ikawe fundisho kwa wabunge wa ccm na wengine kuropoka ropoka

DSC02266.JPG
 
Lema ni mhuni,kihiyo mbabaishaji alipigiwa kura za hasira hana maana hata kabisa.
 
Waheshimiwa wote waliochaguliwa kuna ambao wakienda majimboni mwao wanalala kwenye nyumba za wazazi wao? Au wote wana miji yao? Kwetu huwezi kuoa au kuitwa mheshimiwa kama huna kwako.
 
Sasa ukisikia chizi ni wewe. Dunia wewe inakuendea kinyume. JK mwenyewe anajua Chadema wote cream na wako makini
 
Watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hatimaye akapata kura zao bila kujua wanamwingiza mhuni wa mtaani bungeni
kama ataweza kututea kuna ubaya gani acha ujinga wako kwani watu wlio mtaani siy watu au hawafai kutuongoza...Mrema na Batilda wametusaidia nini Arusha..
 
Kama kuna mtu anaejuta dunian ni mama batilda buriani
wakati zitto kabwe akiwa ameshatoa alioyatoa huyu mama akaamkaa na kuomba
sheria ifwate kijana ahukumiwe kweli jamaa letu likaingia line mara kijana wetu akamtoa,

wakati lema anakampen alichukua muda mwingi kuwaeleza wananchi mnamjua zitto mnakumbuka huyu mama ndie aliechangia kumtoa zito bungen kwa nini mnataka kurudisha upupu ulitaka kufukuza kijana wenu ...watuu weeeweeee

hii ikawe fundisho kwa wabunge wa ccm na wengine kuropoka ropoka
Acha uzushi Lema haja pita kwa hoja moja tu... mimi nimeenda mikutano ya Lema zaidi ya saba lakini sikusikia akiongelea kitu kama hicho niambie alikuwa kwenye mkutano wa wapi na watu wa Arusha hawampi uzito Zito ukilinganisha na Dr slaa na Lema anakubalika kwani hata mwaka 2005 alipita wakamchakachua sema mwaka huu watu walisimama kidete kuhakikisha Lema anakuwa Mbunge wa Arusha kuanzaia kusimamia, kuhesabu, kujumlisha mpaka kutangazwa utakuwa shahidi kam ulifika siku lema anatangazwa pale manispaa maana umati ulio kuwepo si wakitoto na kama wange tangaza tofauti basi damu inge mwangika siku ile
 

Attachments

  • mbungewaarusha.jpg
    mbungewaarusha.jpg
    39.9 KB · Views: 42
Watu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hatimaye akapata kura zao bila kujua wanamwingiza mhuni wa mtaani bungeni

sasa nyie CCM mlivoingiza wakata viuno kwenye mabaa na wavaa shanga miguuni huo ni nini kama sio uzinifu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom