Viongozi wa dini ndio kazi zao kuwalipa wastaafu? , kwa akili hizi ,kweli dj atatawala chama chenu milelewastaafu tunataabika viongozi wa dini wanaangalia tu,
Kila mtu apambane na fursa yake..wao mbona walikuwa wanatetea ushoga wakati viongozi wa dini wanapinga?ila leo wao wanataka viongozi wa dini wakubaliane na matendo yao.Povu la nini, kilichoulizwa ni Mbona viongozi wa kiroho wamekaa kimya wakati wa dhoruba inayoendelea?!
Wala hawakumtembezea bakuli kumtafutia wanasheria..Acha unafiki, wakilianzisha mnasema wachochezi, na serikali ikiwaita magaidi nanyi mnaunga mkono 100%. Kesi ya uamsho mwaka wa ngapi huu? ACHA DAWA ITUINGIE WOTE KWA SASA. SHEKH PONDA KAKAA GEREZANI ZAIDI YA HUYO MBOWE MBONA HATUKUSIKIA AKIWAITA WANASIASA.
Lema acha mbwembwe,tetea mafao ya Wafanyakazi
Mfuti kumnadi waziri kuu ni kazi ya mungu??Wao wanafanya kazi ya Mungu , kazi za binadamu wakosoane wenyewe.
Akatubu kwanza kwa wizi wa magari na ujambazi aache unafiki. kwani wakati anafanya ujambazi alikuwa hajui kama ni dhambi
Hii mbona ipo ? Majibu yangu ndio wamekusaidia kufuta ,? Kumbe wengine mna uhalali wa kutukana?Unajidai kuandika utadhani huwa unakunywaga juisi na malaika.Punguza unafiki.
Tukijibu yatafutwaMfuti kumnadi waziri kuu ni kazi ya mungu??