witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Yes . .akajipiga surgeryWanasema Michael Jackson aliathiriwa na ugonjwa huu pia.
Yes . .akajipiga surgeryWanasema Michael Jackson aliathiriwa na ugonjwa huu pia.
Pole Sana MkuuYes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo
Pole Sana mkuu.Yes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo
Nishazoea hii hali mkuuPole Sana mkuu.
Counseling yourself ni hatua nzuri kwenye kukubaliana na hali halisi.
Pole mkuu... Jitahid kusugulia vitunguu swaumu.. Ina slow process ya kusambaa!Yes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo
Akili yako inapofikia mwisho hapo ndipo Yesu anapoanzia. Sali kwa imani tu uponyaji upo. Mimi niliwahi kusumbuliwa na vipele vya kichogoni muda mrefu pamoja na kuhangaika kwenye tiba hospitali tofauti.Yes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo
Pole asee...Yes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo
Jaribu kuniuliziaPole asee...
Mimi kuna ndugu yangu ulikuwa unamtokea "sina uhakika kama ni mmoja maana yeye alikuwa anapoteza rangi ya mdomo kabisaa ambao kiasilia ni mweusi".
Dawa za asili ndo zilizomponyesha.. sikumbuki ni zipi maana ni muda mrefu umepita ila ni aidha zinatokea songea ama kagera... alipona kabisaa hivyo usipungukiwe na imani kumbuka hakuna mateso ya duniani ambayo mbingu ikashindwa kuziondoa
Jaribu kuniulizia
Yes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo
Pole sana mungu akuponye kwakweliYes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo