Leka Dutigite:Wazawa Wa kigoma tufamiane.

Ili iweje au umetumwa na mfalme. Imebidi muje na style mpya. Mello alishakataa mambo ya kutambuana na mpaka rumande akalala wewe unataka nn tena.
Ckuweka uzi lengo kutambuana kwa namna ambayo inaweza kumshikisha mtu.Mfano:mimi ni mzawa Wa kgm lkn mpka sasa siishi kigoma .
 
>>> MIMI MKAZI wa KIGOMA msamvu STAND karibu na Daraja la MTO RUVU njia ya kuelekea MTAMBASWALA jirani kabisa na feri HUKU POSTA mpya kama unaelekea OFISI za TAIFA za TAKWIMU hapa jirani na Msoga kijiji cha MKwakwani njia Panda ya KWEnda NAMTUMBO .>> mtoa MADA unadhani JF kama fACEbook??? sis wengine tunatafutwa na cnn anatusitiri ''MELO '' tu.
Ungesema km ni mzawa wa huko inatosha!Km utapenda kuzungumza maeneo ulipozaliwa haina taabu.Ndio maana ht mm cjataja majina yangu wala vngne km vile nlipo xx n.k
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom