Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Ulitegemea kasichana, mwanafunzi wa chuo kikuu arudi na mbaula, Cantor, Suzuki?
Karudi na begi moja lenye Jeans 2, t Sheti 3, sketi moja, dera na mtandio wa kusali, na vitabu.
Karudi na B. A. Politics and Government
Karudi na M. A. African Studies.
Karudi na Higher Diploma in Journalism and Film Making.
Na maadili yake na uzalendo wake.
Kama wewe ndio Leila pole sana kwa kuitwa teja, najua inaumiza sana kutupiwa kashfa ambazo sio za kweli, msamehe tu huyo jamaa.

Hongera kwa kusoma na kuhitimu vizuri.
 
Wala hufahamu hiyo familia.
Ungeifahamu ungeelewa ukweli.
Acha kuleta chuki binafsi humu.
Tabia ya udayuzz haipendezi kwa mtoto wa kiume.
Leila ofisi yake ya calabash iko kinondoni,sheikhs chambers of advocate ofisi ya hamida iko posta pamba house,razia kastaafu,
Mpeleke Mama yako Sober Houses apate msaada wa kuacha uteja.
Tena mkanye aache kuparamia baru baru.
Ni uchulo!
 

Attachments

  • images (35).jpg
    images (35).jpg
    9.7 KB · Views: 1
Leila ndo leo namsikia! kumbe bongo imesheheni waandishi makini! Dada yuko sahihi nani kutoka Afrika anaweza kuingilia uchaguzi wa US? watuache!

Marekani inajitutumua tu haina maajabu tena kama zamani Rais wao amepona Corona juzikati wamwangalie huyo kwanza kisha wapambane na China kwanza waliowasha indiketa kuwapita kiuchumi!

Hali ni ngumu sana bongo raia wanatapatapa kutafuta msosi wala hakuna anaewasikiliza wamarekani nchini. Siasa zetu bongo za majitaka mabeberu kamwe hawatazielewa!
Yani nikiona bongo fleva wanavyonyang'anyana peremende za CCM halafu kule Nigeria wasanii wana mahela lakini bado wanatumia ushawishi wao kuchochea mabadiliko kwenye jamii na mifumo ya nchi nasikia hasira mpka natamani kupiga ngumi ukuta…

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom