Legal Officer - Bank of Tanzania

Maxence Melo

JF Founder
Feb 10, 2006
4,230
13,415
Job Title: Legal Officer - 2 Positions

Requirements: Holder of an upper second or first class Bachelor's Degree in Law

Job Description:

Assisting in making follow up on Bank's cases in courts of law, tribunals and Advocates' Chambers and keeping records of all pending case;

Apply To:

Deputy Governor (AIC)
Bank of Tanzania,
P. O. Box 2939,
DAR ES SALAAM.

Closing Date : 20/Aug/2010
 
Nafasi hii ilishatangazwa long time kitambo sasa wanajidai hawajapa qualified people so wanatangaza upya ili wapachike watu wao, hii ndio bongo ya wabongo bwana...Wizi mtupu.........
 

Attachments

  • 2010-July-22-Jobs_Legal officer_BOT.pdf
    127 KB · Views: 140
Safi, kama zinapatikana kazi za sayansi kama research n.k tuambiane maana huku tuliko tunalinda ofisi tu hamna dili.
 
Nchi inawenyewe hii.
Kuna jamaa yangu alipeleka applications zake hapo BOT, alipeleka physicaly.
Pale mapokezi alikutana na mama mmoja ambaye alikuwa anakagua copy ya vyeti.
Akamwambia applications haijatimia kwani cheti cha dararasa la saba hakikuwepo kwenye attachment.
 
Nchi inawenyewe hii.
Kuna jamaa yangu alipeleka applications zake hapo BOT, alipeleka physicaly.
Pale mapokezi alikutana na mama mmoja ambaye alikuwa anakagua copy ya vyeti.
Akamwambia applications haijatimia kwani cheti cha dararasa la saba hakikuwepo kwenye attachment.
duh! hyo kali jamani
 
Nchi inawenyewe hii.
Kuna jamaa yangu alipeleka applications zake hapo BOT, alipeleka physicaly.
Pale mapokezi alikutana na mama mmoja ambaye alikuwa anakagua copy ya vyeti.
Akamwambia applications haijatimia kwani cheti cha dararasa la saba hakikuwepo kwenye attachment.

Kwani tatizo liko wapi hapo? Siku hizi wanakihitaji hicho cheti kwenye ajira!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom