Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

yeyote mwenye uamuzi wa hii kesi
Hamisi Jonathan John Mayage Vs. Board of External Trade Civil Appeal No. 37 of 2009, CAT
either uamuzi wa mahakama kuu
au mahakama ya rufani
naomba anisaidie soft copy
 
Habari. Natafuta case law za contract, Arbitration & Administrative Law.

Kama kuna mtu anazo tafadhali naomba tuwasiliane
 
Nimepita kwenye huu uzi kuona kama kuna wanasheria wanaichambua kesi ya yule jamaa wa katiba mpya kumbe uzi umekufa huu
 
Nimepita kwenye huu uzi kuona kama kuna wanasheria wanaichambua kesi ya yule jamaa wa katiba mpya kumbe uzi umekufa huu
Dead thread, unaona mtu mmoja anaweza àkawa na akili kuliko watu milioni 60! Kuondoka Dragon, kila kitu kimekufa
 
Poleni na majukumu wataalam. Nina ndugu yangu kalazwa ila ana upungufu wa damu ila hataki kuongezewa damu naweza kumfungulia kesi na ikitokea doctor kamwongezea kwa lazima sheria itamlindaje doctor

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna group la telegram la materials lipo kule uzuri telegram vitu havifutiki.. Pia ukihitaji document unasema sio kutokuwepo kwa mkuu Dragoon na docoument zisiwepo kila mwanasheria naamin anazo kwa hiyo tutasaidiana tuu...

Ata kwa link za kupata hizo document pia

Mkuu Retired ametoa link ya tanzlii hiyo ni official website tunapoenda huko mbelen law reports nazani zitamezwa na Tanzlii zote.. Tuitumie ni nzuri

Link ya telegram nikipata nitaleta maana group lipo active sanaa


Aluta continua
Boss link hujapata bado

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nimevutiwa na ukarimu wako wa kushare MAARIF..

Mimi nipo nje ya lengo la hhi forum na badala yake naomba ushauri.

Nina ndugu yangu muhitimu wa diploma ya sheria, kwa sasa ni muajiliwa anahitaji kujiendeleza na degree ya sheria,, lakini kupitia THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA, (Chuo kikuu huria Tanzania),,,

naomba kupata ushauri Kama Ni suitable kwa sheria...... ikilinganishwa na anaesomea CAMPUS maana tunajua sheria inavitu vingi.
 
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana
Mkuu nimevutiwa na ukarimu wako wa kushare MAARIF..

Mimi nipo nje ya lengo la hhi forum na badala yake naomba ushauri.

Nina ndugu yangu muhitimu wa diploma ya sheria, kwa sasa ni muajiliwa anahitaji kujiendeleza na degree ya sheria,, lakini kupitia THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA, (Chuo kikuu huria Tanzania),,,

naomba kupata ushauri Kama Ni suitable kwa sheria...... ikilinganishwa na anaesomea CAMPUS maana tunajua sheria inavitu vingi.
 
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana
habari humu naomba mwenye documets kuhusiana mgawanyo wa mali za marehemu ( non indian Act ) asante
 
Back
Top Bottom