Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona alijitoa! Somethng went wrong there where he is! Missed a lot!Dragoon you are really missed here
Ubarikiwe sana wakili Msomikwa maamuzi ya Mahakama ya rufaa kwa mwezi wa 10 mwaka huu tunaendelea ha hizi...
just google there is a lot of literature on that! Labda anza na hii in synopsis. Kama wewe ni mwanafunzi wa sheria, you need to do more! Looks you are a bit lazy.. excuse me for that unfriendly comment!
Wakili msomi naomba uniadd kwenye grup la watsup kama lipo, 0658 200606Jaman hili suala la WhatsApp group sio la mzaha....na kam tatizo ni utekelezaji wake, bado tatzo hili si tatzo tena mm nitakuwa team/group leader na jina la group ni JF Bar...au...JF Jurists naombeni namba zanu tafadhari!.
naomba ufafanuzi wa kisheria.
Mimi kuna bro wangu kakimbia kusikojulikana na fedha za kampuni moja hivi.alikuwa anakaa home kwa baba.kampuni limeanza kumsumbua mzee kumtishia kumshtaki.je mzee anastahili kusumbuliwa kiasi hicho??
Wakuu naomben msaada wa maelezo kwa scenario hii. Samahanini kama ishajibiwa na sijaiona.
Kuna same scenario kama hiyo nataka maelezo.dah! mkuu,hili jambo limesha expire