issakwisa6810
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 309
- 84
Naombeni msaada Wa prison act PSO email yangu ni hii issakwisa62@gmail.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dragon naomba unisaidie.Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana
Hatua hiyo ya kulipa hela inaitwa kukazia hukumu. Kwa kawaida kukazia hukumu mtu hapewi mda maalum, lakini kikomo chake ni miaka 12. kwa hiyo kama hukumu ya mwisho ilitolewa mwaka 2013 bado mda wa miaka 12 haujaisha.Dragon naomba unisaidie.
Tulinunua shamba la ukoo mwingine. Akatokea mwana ukoo ule akataka kukomboa ( to redeem a clan shamba) . Mahakama ya mwanzo ikampa haki ya kukomboa, that was in 2012.. Haikuweka muda wa kufanya hivyo. Jamaa huyo akakata rufani maana alitaka iwe kesi ya jinai kuwa tumeingia kwenye shamba by trespass. Mahakama ya wilaya ikakataa. That was in 2013. It restored the primary court ruling in toto- in 2013. Leo mtu huyo anataka kulipa hizo hela za kukomboa shamba la ukoo. Je sheria inasemaje kuhusu such a delay (kumbuka mahakama haikutoa muda wa kulipa hizo hela.) Is such a delay warranted?
NAOMBA UNISAIDIE TAFADHALI KUNITAFUTIA CASE HII: Civil Appeal No. 5/97 – Tanzania Saruji Corporation vs African Marble CO. Ltd. CAT at Dar.Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana
Chukua hii hapa:Naombeni msaada Wa prison act PSO email yangu ni hii issakwisa62@gmail.com
Dragoon, kesi ya Lema court of appeal walisema kuwa mpiga kura hawezi kufungua kesi ya kupinga matokeo maana kama amepiga kura hakuna haki yake iliyovunjwa, mbona hawa wameshitaki?Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana ya hivi vitu na sitokuwa mchoyo kwa lolote, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria (kwa wanasheria tu) ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana
Jaribu kufafanua swali lako maana naona haliko sawa.Wakuu nisaidieni sheria ya OSHA inasemaje juu mfanyakazi kukutwa na asilimia Fulani ya kilevi? Je kuna jiwango kinachoruhusiwa na OSHA au ni 0.00mg/l ya kilevi ndo inapaswa mda wote?
Kuhusu swar gan?MWENYE SHERIA YA NDOA NA TALAKA MSAADA PLEASE
Section gan? IL upate msaadaPublic Service Act, 2002 na Employment and Labour Relations Act, 2004 zina kinzana kwenye likizo ya ugonjwa! Hivi ni ipi sahihi?!
Ingia website hii judicial database unapata kesii zote uzktakazo kwa kusearchNAOMBA UNISAIDIE TAFADHALI KUNITAFUTIA CASE HII: Civil Appeal No. 5/97 – Tanzania Saruji Corporation vs African Marble CO. Ltd. CAT at Dar.
NITUMIE INBOX KAMA ITASHINDIKANA HUMU.