Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

.
Katika hii kesi majaji wa Mahakama ya rufaa walijipa mamlaka ya kuchambua upya ushahidi uliowwekwa mbele ya trial court. Wakabadili verdict toka murder hadi kuwa manslaughter, na hatimae wakafanya mitigation suo mottu, intra-partes, na kutoa sentence.

Mahakama inayosikiliza rufaa inayo mamlaka ya kupitia upya ushahidi na kuudadavua. Wakili wa utetezi (Nyange) aligusi kuhusu kupunguzwa kwa kosa kutoka la mauaji hadi kuua pasipo kukusudia. Somo linalopatikana hapa ni kuwa mawakili wa utetezi wanao wajibu wa kutetea mteja wao kwa kadri ya sheria na kanuni zake. Mwanzo (katika trial court) wakili wa utetezi hakufanya jitiada zozote kumuokoa mteja wake. Majaji wa rufaa waliliona hili na kuamua kuokoa jahazi.
Asante, umeona kuwa katika hali ya kawaida, ile scenery nzima mtu angesema kuwa alikusudia kuua maana alishatamka kwamba utanitambua.... sasa nikifa tena wewe ukaniua kwa mwichi, akili ya kawaida ni kuwa ulikusudia kabisa. Lakini angali majaji walivyochukua angle tofauti kabisa
 
Asante, umeona kuwa katika hali ya kawaida, ile scenery nzima mtu angesema kuwa alikusudia kuua maana alishatamka kwamba utanitambua.... sasa nikifa tena wewe ukaniua kwa mwichi, akili ya kawaida ni kuwa ulikusudia kabisa. Lakini angali majaji walivyochukua angle tofauti kabisa
.
Hapa tunaona kuwa mahakama kuu ilimuona mtuhumiwa kuwa kaua kwa kukusudia na kusudi hili lilikuwepo toka mchana wa siku hiyo ya tukio kwani alitamka wazi kuwa marehemu atamtambua. Majaji wa rufaa walichukua scenario tofauti kuwa mtuhumiwa alikuwa amelewa sana na tukuo la mauaji lilitokea usiku. kwa hiyo Majaji wakasema hapakuwa na ushahidi wa kutosha kuwa mwichi uliotumika kumpiga marehemu ulikuwa na ukubwa gani, na kwamba mwanga katika chumba cha mauaji ulikuwa wa aina gani kumwezesha muuaji kumtwanga marehemu sehemu nyeti (kichwani) kwa nia ya kumuua. Majaji waliona kuwa upande wa mashtaka haukudhibitisha pasi shaka ili kukizi matakwa ya jinai ya kuua kwa kukusudia. Kwa hiyo mahakama ikampa mtuhumiwa benefit of doubt.
 
.
Kiongozi Retired ,
Power of attoney ni hati inayotoa na kudhibitisha mamlaka ya mtu fulani kufanya kitu fulani kwa niaba ya mtoaji. [the power of attorney is defined to be a document executed by a person in favour of another empowering the latter to do any lawful act or acts for and on behalf of the donor:… (Ahmed Ibrahim Bora v. Mehboob Abdulkarim Shivji & Another, Misc. Commercial Cause No. 17 of 2007)]

Power of attorney kimsingi zipo za aina mbili:- (1) inayompa mtu au kampuni kusimamia na kutekeleza shughuli mbalimbali zinazohusu mali na haki za mtu au kampuni, na (2) inayompa mtu au kampuni haki ya kusimamia kesi katika mahakama za Tanzania. Aina zote hizi mbili ni sharti zisajiliwe kisheria ili kuwa halali. Ile ya kwanza inasajiliwa chini ya the Registration of Documents Act, cap 117 na the Land Registration Act, cap 334.

Mtu yeyote mwenye age of majority na mwenye akili timamu anao uwezo wa kutoa Power of Attorney au kupewa Power of Attorney, kulingana na matakwa na dhamira ya Power of Attorney yenyewe. Pia kampuni inaweza kutoa na kupewe Power of Attorney. Hata hivyo hati hii ya Power of Attorney lazima iwe katika mfumo wa kiapo, na isainiwe na wakili au kamishina wa viapo.

Kama nilivyoeleza hapo awali, kampuni pia inao uwezo wa kutoa POA. Inaweza kutoa kwenda kwa kampuni, wakili au kwa mtu binafsi. Inaweza hata kutoa POA kwa mteja wake, kulingana na dhamira ya POA yenyewe. Kuhusu kampuni kumpa mtu POA kusimamia kesi ya Ardhi ni tata. Kwa Tanzania hairuhusiwi mtu kusimamia kesi katika mwavuli wa POA isipokuwa katika mazingira yafuatayo:

1. Anayewakilishwa awe nje ya mipaka ya Tanzania na hawezi kufika nchini kirahisi. [Zarina Mohamed v Leonida Sakulo, Land Case No. 166/2010 (unreported); Georgia Celestine Mtikila Vs. Registered Trustees of Dar es salaam Nursery School & Another [1998] TLR 512; Property Consultancy v Seemi Probil Co Ltd & Others, Land Case No. 258/2008; Naiman Moiro Vs Nailejiet K. J. Zablon [1980] TLR 274]

2. Anayewakilishwa isiwe kampuni au corporate body, Kampuni inawakilishwa na wakili au athorised officer (afisa wa kampuni) lakini sio wakala. Mtu mwenye hisa katika kampuni anao uwezo kuwakilisha kampuni katika shauri kwa niaba ya wanahisa wengine pekee, si kwa niaba ya kampuni [Ahmed Ibrahim Bora v Mehboob Abdulkarim Shivji & Another, Misc. CC No. 17/2017. Angalia pia John Nyaronga v Captain Ferdinando Ponti & 2 others, CC No. 62/2009 (Mruma, J.)] Kampuni itawakilishwa na meneja wake, mwanabodi wake au katibu wake lakini ni lazima iidhinishwe na Bodi ya kampuni (company resolution) – Kanuni ya 30 (3) ya Court of Appeal Rules, 2009.

3. Kwa baadhi ya mashauri mtu anaweza kuwakilisha mtu kwa mwavuli wa POA katika mahakama za mwanzo, ambako CPC na sheria zingine hazitumiki na wana kanuni zao za kuendesha mashauiri [Deemay Sikay v Neema Magoni, CAT Civil Appeal No. 3/2011 (unreported)]

4. Mwakilishi anaeshikilia POA sharti aidhinishwe na Msajili wa Mahakama ya Rufani kusimamia kesi hiyo kama kesi iko mahakama ya Rufani, kama ni mahakama kuu ni lazima iidhinishwe na Msajili wa mahakama kuu.

Kwa ufupi POA haifanyi kazi kama mwenye kesi yupo ndani ya mipaka ya nchi [Angalia kanunu ya 30 (2) ya Court of Appeal Rules 2009, ambapo hata Mahakama za chini hufuata utaratibu huo. Pia angalia kesi za Abbas Khatib Haji v Haidar Thabit Kombo, CAT Civil Appeal No. 5/2002 (unreported) na Hamisi Kirumbini v Pantaleo Asenga, CAT Civ. Appl. No. 157/2005 (unreported)].

Kwa maelezo haya kampuni hiyo ya wahindi kama ulivyoeleza haina msingi kisheria kumpa mtu POA kusimamia kesi yao.
Karibu sana.....
Mfano hizi nikidownload kwa kuanzia kuselecte civil case 3 of 3011 inadownload nyingine 17 of 2007 halaf zingine zote inagoma kila nikijarib inanidirect huko huko kwny 17 of 2007.

Na hili tatizo ni kwa kila uploads yenye attachments. Apa nimetoa mfano tu ambao ni halisi ndicho kilichonitokea.
 
Mfano hizi nikidownload kwa kuanzia kuselecte civil case 3 of 3011 inadownload nyingine 17 of 2007 halaf zingine zote inagoma kila nikijarib inanidirect huko huko kwny 17 of 2007.

Na hili tatizo ni kwa kila uploads yenye attachments. Apa nimetoa mfano tu ambao ni halisi ndicho kilichonitokea.
Mkuu, hahisi setting za device yako haziko sawa. Jaribu kuzihakiki. Ikishindikana nitaarifu ni- upload zingine.
 
Mkuu, hahisi setting za device yako haziko sawa. Jaribu kuzihakiki. Ikishindikana nitaarifu ni- upload zingine.
Settings kivip mkuu kwan kudownload hizi nako nahitaji niwe na Apps (i.e downloader yke) au unanishauri niset simu kivip learned?.
 

Attachments

  • CIVIL APPEAL NO. 3 OF 2011 Power of Attorney PC.doc
    49 KB · Views: 131
  • CIVIL APPEAL NO. 3 OF 2011 Power of Attorney PC.doc
    49 KB · Views: 90
  • LAND CASE NO. 166 OF 2010 Power of Attorney.doc
    37.5 KB · Views: 120
  • Land Case No. 258 of 2008 Powe of Attorney.doc
    37 KB · Views: 90
  • MISC.CCNO. 17 OF 2007 power of attorney for company.doc
    43 KB · Views: 213
  • Power of Attorney.doc
    35 KB · Views: 113
.
 

Attachments

  • LAND CASE NO. 166 OF 2010 Power of Attorney.doc
    37.5 KB · Views: 362
.
 

Attachments

  • Land Case No. 258 of 2008 Powe of Attorney.doc
    37 KB · Views: 228
Zikiwa separate hivi zimekubali zote learned..

Lakin zikiwa pa1 nimejarib hata sa hz maana ile cc 17 of 2007 niliidownload bas nikijarb kudownload nyingine tofauti kinachotoeni ni .......simu inanidirect "open with" inataka nichague complete action with....mfn wps, pdf, polaris office etc ambazo nimeinstall kwny cm angu nikiruhusu inafunguka ilele ambayo tyr nishadownload (i.e civ 17/2007)
 
Zikiwa separate hivi zimekubali zote learned..

Lakin zikiwa pa1 nimejarib hata sa hz maana ile cc 17 of 2007 niliidownload bas nikijarb kudownload nyingine tofauti kinachotoeni ni .......simu inanidirect "open with" inataka nichague complete action with....mfn wps, pdf, polaris office etc ambazo nimeinstall kwny cm angu nikiruhusu inafunguka ilele ambayo tyr nishadownload (i.e civ 17/2007)
.
Hata mimi nilihisi zikiwa pamoja inaweza kuwa ndio kikwazo, ndio maana nimeamua niziweke separate. Karibu sana Learned Fellow
 
.
Hapa tunaona kuwa mahakama kuu ilimuona mtuhumiwa kuwa kaua kwa kukusudia na kusudi hili lilikuwepo toka mchana wa siku hiyo ya tukio kwani alitamka wazi kuwa marehemu atamtambua. Majaji wa rufaa walichukua scenario tofauti kuwa mtuhumiwa alikuwa amelewa sana na tukuo la mauaji lilitokea usiku. kwa hiyo Majaji wakasema hapakuwa na ushahidi wa kutosha kuwa mwichi uliotumika kumpiga marehemu ulikuwa na ukubwa gani, na kwamba mwanga katika chumba cha mauaji ulikuwa wa aina gani kumwezesha muuaji kumtwanga marehemu sehemu nyeti (kichwani) kwa nia ya kumuua. Majaji waliona kuwa upande wa mashtaka haukudhibitisha pasi shaka ili kukizi matakwa ya jinai ya kuua kwa kukusudia. Kwa hiyo mahakama ikampa mtuhumiwa benefit of doubt.
Asante,hivyo kwa mwenendo wa binti Lulu, any verdict can surprise the majority!
 
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana
Mh. Dragoon,
Naomba msaada kidogo. Mdogo wangu amesimamishwa kazi kuwa eti amegushi cheti. Lakini katika kuhakiki vyeti hakuwa na tatizo kwani yeye ni darasa la saba la zamani, hivyo alikuwa hana hatia na akaendelea kuwa kazini. Katika figisu za maofisini, kutoka kwa ndugu zake wakamchomekea cheti kwenye faili lake kuwa ana cheti cha kugushi. Akakataa kuwa angalia hata appraisal zangu, hakuna mahali nilipowahi kujaza kuwa na cheti cha form4 kwa miaka yoye 20 kazini, Pili, hakuna barua katika faili langu kuomyesha kuwa nilileta cheti cha form4 as an additional qualifications,. Akawaandikia barua kueleza upande wake, wakaamua kukaa kimya bila kumrudisha kazini au kumfukuza kazi ikajulikana.
Kibaya zaidi hata mshahara walisimamisha, hawampi kabisa. Kitu ambacho nadhani ni makosa kwani siku hizi ukiwa na tuhuma unapata mshahara wako wote. Naomba msaada
1. Achukue hatua gani katika hali kama hiyo?
2. Kisheria ni sahihi kumnyima mshahara?
 
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana
Your Lordship Dragoon, naomba kama una doc hii unitumie tafadhali: Code of Good Practice Rules 2007
This looks awkward anyway naomba kujua kwa nini katika labour disputes wanatumia revision badala ya appeal. Mfano, kutoka CMA kwenda Labour court, High court, mtu anaomba revision na si appeal?
 
Your Lordship Dragoon, naomba kama una doc hii unitumie tafadhali: Code of Good Practice Rules 2007
This looks awkward anyway naomba kujua kwa nini katika labour disputes wanatumia revision badala ya appeal. Mfano, kutoka CMA kwenda Labour court, High court, mtu anaomba revision na si appeal?
Mh. Dragoon,
Naomba msaada kidogo. Mdogo wangu amesimamishwa kazi kuwa eti amegushi cheti. Lakini katika kuhakiki vyeti hakuwa na tatizo kwani yeye ni darasa la saba la zamani, hivyo alikuwa hana hatia na akaendelea kuwa kazini. Katika figisu za maofisini, kutoka kwa ndugu zake wakamchomekea cheti kwenye faili lake kuwa ana cheti cha kugushi. Akakataa kuwa angalia hata appraisal zangu, hakuna mahali nilipowahi kujaza kuwa na cheti cha form4 kwa miaka yoye 20 kazini, Pili, hakuna barua katika faili langu kuomyesha kuwa nilileta cheti cha form4 as an additional qualifications,. Akawaandikia barua kueleza upande wake, wakaamua kukaa kimya bila kumrudisha kazini au kumfukuza kazi ikajulikana.
Kibaya zaidi hata mshahara walisimamisha, hawampi kabisa. Kitu ambacho nadhani ni makosa kwani siku hizi ukiwa na tuhuma unapata mshahara wako wote. Naomba msaada
1. Achukue hatua gani katika hali kama hiyo?
2. Kisheria ni sahihi kumnyima mshahara?
Mkuu, nitaleta mrejesho hapa soon
 
Ubarikiwe sana. Kijana wangu kafanyiwa hivyo. Hata ile mshahara hapati kasimamishwa
Legally speaking huwezi kumnyima mshahara mtumishi kwa sababu ya vyeti feki. Mtumishi atanyimwa mshahara kwa kutokuwepo kazini kwa sababu moja au nyingine. Nitakuletea details hapa baadae
 
Msaada: naomba Template au document itakayonisaidia kuandika WILL au WOSIA (WASIA)
Kiongozi, Will au Wosia unaweza kuuandika pasipo kufata formality yeyote. Hata hivyo kuna mengi katika tasnia hii yanahitajika uyafahamu. Hapa nakuwekea Probate Forms ambazo zina mengi ya kukufundisha, ikiwemo format ya kuandiaka wosia katika "prescribed" form. Chambua hapa.
 

Attachments

  • Probate and Administration forms.zip
    356 KB · Views: 146
Back
Top Bottom