Carlos Valderrama
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 664
- 240
Rais Mkapa, alikuwa na kazi moja kubwa, kuimarisha hatua zilizopigwa na awamu ya pili hasa katika kuendelea kuupanga na kuuimarisha uchumi wetu katika mfumo mpya tuliouchukua. Serikali ya Awamu ya tatu chini ya uongozi wa Mzee Mkapa ilijikita katika kuhakikisha kuna “transition” nzuri kutoka uchumi uloshikwa na dola awali kwenda uchumi huria ambao umeshikwa na watu katika sekta binafsi.
Wadau wa JF tupeni michango yenu.