Granted Faith
Member
- Jul 4, 2021
- 57
- 292
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.
Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.
HALI NI MBAYA SANAA
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana.
Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.
HALI NI MBAYA SANAA
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana.