Prof Decentman
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 276
- 140
Napenda kutumia jukwaa hili kuwakaribisha wahadhiri wenzangu popote mlipo tuweze ku-share changamoto zetu, maendeleo ya elimu hasa ya chuo, ushauri kwa wanafunzi wa vyuo, vituko tunavyokutana navyo na mambo mengineyo.
Natambua tunapokuwa darasani tunakuwa strict sana ila hapa tuwe flexible sababu tuna-share mambo ambayo yawezekana wengi hawayajui.
Japo uzoefu wangu chuoni si mkubwa sana around 10 years naweza sema nimeona wanafunzi bright na wengi wasiojiweza kimasomo yaani bora liende. Wanafunzi hawa kuwaongoza na kuwatengeneza wawe vzr ni changomoto kubwa sana. Uzuri chuoni walimu tuna nguvu kubwa hivyo unaweza kwa kiasi fulani kumlazimisha mtu awe unavyotaka maana asipofata taratibu anaweza kufeli.
Changamoto moja ninayoikumbuka ni siku moja nikiwa nasimamia mtihani nikamwona kwa mbali binti mmoja ana hangaika hangaika, nikahisi hapa si bure. Niwaibie siri kwa wale wanafunzi, mwl ni rahisi sn kumgundua mwanafunz mwenye kibuti au anayeibia unless mwl aamue kupotezea. So nika-trace vzr kbs, nikamfata mpaka pale alipokaa taratibu kbs nikakuta amefungua paja lake anaibia majibu maana alikuwa amejiandika, nilisikitika sn kwa kitendo hicho. Maamuzi niliyochukua siri yangu.
Tabia nyingine inayonishangaza ni kula karatasi za vibuti aka migi, how comes mwanafunzi unameza karatasi, au tumbo lako linaweza ku-digest karatasi bila shida?
Kingine wanafunzi wa siku hizi vyuoni acheni kupenda slope. Watu hawasomi kucha kuzurura na starehe, ukifika muda wa course work mnaanza kusumbua, mara make up, mara mnatupa majaribu kuwa 'chochote utakachotaka nitakupa' walimu wenzangu msijaribu kuruhusu kuingia ktk huu mtego ni hatari sana.
Nakaribisha wahadhiri wote katika maeneo mbalimbali ya kitaalam tushauriane na kushare changamoto, na pia wanafunzi wa vyuo kama una maswali uliza wataalam watajibu.
Pengine tujikite katika maeneo yafuatayo;
1. Namna ulivyoweza kuingia ktk kazi ya kufundisha - njia ulizopita. Hii itakuwa ni namna ya kuwatia moyo wale wanaotaka kuwa wahadhiri.
2. Ushauri wa kimasomo. Hii itahusu masuala ya kimasomo ama elimu kwa yule atakayependa kujua.
3. Maadili - ya Walimu & wanafunzi wa Vyuoni .
4. Mfumo wa elimu yetu ya vyuo (in general) na namna inavyowaanda wasomi ktk ajira.
5.Maisha ya Vyuoni.
6. Maslahi ya walimu.
7. Changamoto za kazi ya ualimu vyuoni.
8. Mbinu bora za ufundishaji zenye ubunifu.
9. Uandishi wa vitabu, machapisho, kufanya tafiti na shauri za kitaalam.
10. Udahili wa wanafunzi - Uwezo na ubora, Kujituma na ubunifu,
11. Nidhamu za Wanafunzi
Na mambo mengineyo.
Aksante!
Natambua tunapokuwa darasani tunakuwa strict sana ila hapa tuwe flexible sababu tuna-share mambo ambayo yawezekana wengi hawayajui.
Japo uzoefu wangu chuoni si mkubwa sana around 10 years naweza sema nimeona wanafunzi bright na wengi wasiojiweza kimasomo yaani bora liende. Wanafunzi hawa kuwaongoza na kuwatengeneza wawe vzr ni changomoto kubwa sana. Uzuri chuoni walimu tuna nguvu kubwa hivyo unaweza kwa kiasi fulani kumlazimisha mtu awe unavyotaka maana asipofata taratibu anaweza kufeli.
Changamoto moja ninayoikumbuka ni siku moja nikiwa nasimamia mtihani nikamwona kwa mbali binti mmoja ana hangaika hangaika, nikahisi hapa si bure. Niwaibie siri kwa wale wanafunzi, mwl ni rahisi sn kumgundua mwanafunz mwenye kibuti au anayeibia unless mwl aamue kupotezea. So nika-trace vzr kbs, nikamfata mpaka pale alipokaa taratibu kbs nikakuta amefungua paja lake anaibia majibu maana alikuwa amejiandika, nilisikitika sn kwa kitendo hicho. Maamuzi niliyochukua siri yangu.
Tabia nyingine inayonishangaza ni kula karatasi za vibuti aka migi, how comes mwanafunzi unameza karatasi, au tumbo lako linaweza ku-digest karatasi bila shida?
Kingine wanafunzi wa siku hizi vyuoni acheni kupenda slope. Watu hawasomi kucha kuzurura na starehe, ukifika muda wa course work mnaanza kusumbua, mara make up, mara mnatupa majaribu kuwa 'chochote utakachotaka nitakupa' walimu wenzangu msijaribu kuruhusu kuingia ktk huu mtego ni hatari sana.
Nakaribisha wahadhiri wote katika maeneo mbalimbali ya kitaalam tushauriane na kushare changamoto, na pia wanafunzi wa vyuo kama una maswali uliza wataalam watajibu.
Pengine tujikite katika maeneo yafuatayo;
1. Namna ulivyoweza kuingia ktk kazi ya kufundisha - njia ulizopita. Hii itakuwa ni namna ya kuwatia moyo wale wanaotaka kuwa wahadhiri.
2. Ushauri wa kimasomo. Hii itahusu masuala ya kimasomo ama elimu kwa yule atakayependa kujua.
3. Maadili - ya Walimu & wanafunzi wa Vyuoni .
4. Mfumo wa elimu yetu ya vyuo (in general) na namna inavyowaanda wasomi ktk ajira.
5.Maisha ya Vyuoni.
6. Maslahi ya walimu.
7. Changamoto za kazi ya ualimu vyuoni.
8. Mbinu bora za ufundishaji zenye ubunifu.
9. Uandishi wa vitabu, machapisho, kufanya tafiti na shauri za kitaalam.
10. Udahili wa wanafunzi - Uwezo na ubora, Kujituma na ubunifu,
11. Nidhamu za Wanafunzi
Na mambo mengineyo.
Aksante!