LeBron James asaini mkataba mpya, kulipwa Bilioni 9 kwa mwezi

Huyu ndugu yetu alijichanganya sana

Mkuu hii kitu inaitwa Draft huwa siielewi kabisa mi huwa naona tu madogo wanachaguliwa kwenda timu husika lakini siju utaratibu unakuwa vipi. Naomba ufafanuzi tafadhali inafanyika vipi hii kitu
Nafikiri hata yeye mwenyewe akimuangalia mchizi wake James Harden na ile contract ya Adidas ya $200m huwa inamuuma Sana na ukizingatia James Harden aliwahi kumwambia ana tamani sana angekuwa na Height Kama yake.
 
GSWs imeshapotea, tutabaki tunaizungumza kwamba iliwahi kutisha na kuvunja records. It was real sweet to watch them competing with the King.

Both Curry and Klay are no longer who they used to be. Sioni yeyote kati yao akiwa na impact kama ya LBJ at their age.

Sasa hivi baada ya Lakers, nadhani tutashuhudia miamba mipya, the likes of Dallas, Phills, NOP, Bucks (if Giannis stays), Boston Celtics, Utah Jazz na Denver.
Kiukweli hao jamaa nyakati zile wana compete na King nilitokea kuwachukia Sana, maana walikuwa wanatisha haswa, Kuna series moja ya fainali nilikuwa naombea tu wasimpige King ufagio, maana wakati msimu unaanza tayari wao Wanapewa 43% ya kuchukua ubingwa wakati timu zingine hapo zimepewa 7%,2% mpaka 0.01%.

Binafsi yangu nafikiri Lakers atapata upinzani zaidi EC, na hata ile nyimbo ya "weaker East" sasa itahamia upande wa pili, ila hii ni endapo kama Antetokounpo atabaki.
 
Huyu ndugu yetu alijichanganya sana

Mkuu hii kitu inaitwa Draft huwa siielewi kabisa mi huwa naona tu madogo wanachaguliwa kwenda timu husika lakini siju utaratibu unakuwa vipi. Naomba ufafanuzi tafadhali inafanyika vipi hii kitu
Kwa ufupi tu NBA draft ni kipindi kila timu inachagua wachezaji inaowataka kutoka kwenye leagues za chini mara nyingi huwa ni kutoka college na wachezaji hao lazima wawe na vigezo maalumu mfano lazima awe amesoma kwenye American college yoyote japo Kuna muda wanachukua mpaka waliosoma nje lakini lazima angalau awe amesoma hata mwaka mmoja marekani.
 
Hii timu yangu Blazers yenyewe kila kitu iko nyuma aisee, kwahiyo ata kuchagua hawa madogo haiwezi chagua wazuri.

Kwahiyo ndugu yetu Hashim na yeye alisoma huko Marekani?
Kwa ufupi tu NBA draft ni kipindi kila timu inachagua wachezaji inaowataka kutoka kwenye leagues za chini mara nyingi huwa ni kutoka college na wachezaji hao lazima wawe na vigezo maalumu mfano lazima awe amesoma kwenye American college yoyote japo Kuna muda wanachukua mpaka waliosoma nje lakini lazima angalau awe amesoma hata mwaka mmoja marekani.
 
Kiukweli hao jamaa nyakati zile wana compete na King nilitokea kuwachukia Sana, maana walikuwa wanatisha haswa, Kuna series moja ya fainali nilikuwa naombea tu wasimpige King ufagio, maana wakati msimu unaanza tayari wao Wanapewa 43% ya kuchukua ubingwa wakati timu zingine hapo zimepewa 7%,2% mpaka 0.01%.

Binafsi yangu nafikiri Lakers atapata upinzani zaidi EC, na hata ile nyimbo ya "weaker East" sasa itahamia upande wa pili, ila hii ni endapo kama Antetokounpo atabaki.

Ile show waliyokuwa wanaitoa ule msimu waliovunja record ya 72 wins naifananisha na show ya Xavi, Iniesta na Messi 2009-2011 chini ya Pep!

Ni moja ya show ambazo hazirakuja kuwa replicated hivi karibuni.
 
Nafikiri hata yeye mwenyewe akimuangalia mchizi wake James Harden na ile contract ya Adidas ya $200m huwa inamuuma Sana na ukizingatia James Harden aliwahi kumwambia ana tamani sana angekuwa na Height Kama yake.

Unakumbuka eeeh daah jamaa alibahatika kuwepo kwene list ya mamaba wa mpira wa kikapu akaleta ubishoo daaah wenzake wanaishi kinyama sana jamaa sijui alikosea wapi ? just imagine mtu kama yesayah tomas nae kacheza nba vya kutosha na kakichafua Boston C kabisa, na ebu angalia ile height yake, Jamaa alikuwa na kila advantage yakufanya kama waafrica wenzie kama Pascal Siakam na Serge Ibaka wanamshinda na ni waafrica kama yeye tu mwanangu me sijui ila jamaa alijizingua mwenyewe...
 
GSWs imeshapotea, tutabaki tunaizungumza kwamba iliwahi kutisha na kuvunja records. It was real sweet to watch them competing with the King.

Both Curry and Klay are no longer who they used to be. Sioni yeyote kati yao akiwa na impact kama ya LBJ at their age.

Sasa hivi baada ya Lakers, nadhani tutashuhudia miamba mipya, the likes of Dallas, Phills, NOP, Bucks (if Giannis stays), Boston Celtics, Utah Jazz na Denver.

Nuggets sijawafuatilia sana wana nani mkali ? Denver is not my team....
 
GSWs imeshapotea, tutabaki tunaizungumza kwamba iliwahi kutisha na kuvunja records. It was real sweet to watch them competing with the King.

Both Curry and Klay are no longer who they used to be. Sioni yeyote kati yao akiwa na impact kama ya LBJ at their age.

Sasa hivi baada ya Lakers, nadhani tutashuhudia miamba mipya, the likes of Dallas, Phills, NOP, Bucks (if Giannis stays), Boston Celtics, Utah Jazz na Denver.

Speaking of the MVP dogo anakichafua sana , kuwa MVP NA Defensive player of the year sio mchezo, kabisa Bucks wanamtegemea sema mambo ya wacheza basket ni yakishenz anaweza akaamka kesho anataka timu nyingine , remember wen Bron left Cleveland Cavaliers( his home team) aliwaacha kama hawajui, mpaka wakaanza kuchana chana mapicha yake na nini daaah
 
Huyu ndugu yetu alijichanganya sana

Mkuu hii kitu inaitwa Draft huwa siielewi kabisa mi huwa naona tu madogo wanachaguliwa kwenda timu husika lakini siju utaratibu unakuwa vipi. Naomba ufafanuzi tafadhali inafanyika vipi hii kitu

Mkuu nikiieleza hii draft inavyopigwa kwa kingereza si sawa ? manake kwa kiswahili sitajua namna ya kuweka maneno mengine mkuu...
 
Huyu ndugu yetu alijichanganya sana

Mkuu hii kitu inaitwa Draft huwa siielewi kabisa mi huwa naona tu madogo wanachaguliwa kwenda timu husika lakini siju utaratibu unakuwa vipi. Naomba ufafanuzi tafadhali inafanyika vipi hii kitu

NBA DRAFT

The NBA draft happens every year in June. It is where teams in the NBA choose players who have never played in the NBA before. If a team chooses a player, that player cannot sign a contract to play for any teams other than that team.

WHO CAN BE DRAFTED

Players must be at least 19 years old at some point during the year of the draft. If the player's 19th birthday will be the next year, they are too young. If a player is from the US, it must be at least one year after the graduation of his high school class.[1] Some players who are star players go to college and play college basketball for just one year (because they cannot enter the draft right out of high school), then enter the NBA draft. These players are called "one and dones". Other players enter the draft after two or three years in college, and other players are drafted after playing in college for all four years that they can.
If a player has not played in college for four years, they must enter the NBA draft by declaring themselves eligible.

HOW THE DRAFT WORKS

Teams take turns choosing players. When a team chooses a player, it is called a pick. For example, if a player is chosen second, people will say that he was taken with the second pick in the draft. There are two rounds in the draft. Both rounds have 30 picks, so there are 60 picks in the whole draft. Each team gets one pick per round, but sometimes, a team will pick more than once in a round or not at all. This is because teams can trade draft picks for players, for money, or for other draft picks.

WHEN TEAMS GET TO PICK

The NBA allows teams who had worse records (which means that they won fewer games) the previous season get to pick before better teams. This lets bad teams draft good players and become better. The first fourteen teams to pick are the fourteen teams that did not make the playoffs the previous season.
 
Hii timu yangu Blazers yenyewe kila kitu iko nyuma aisee, kwahiyo ata kuchagua hawa madogo haiwezi chagua wazuri.

Kwahiyo ndugu yetu Hashim na yeye alisoma huko Marekani?

kasoma Connecticut mzee, mara nyingi lazima uwe umepita college kama haujapita huko uwe na vitu vya ziada kama RBJ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom