Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
Mavericks Wana muda mrefu sana hawajafika hata WCF nafikiri wakipata mtu wakusaidiana na Luka pale ukiongeza na uchu walionao, watafanya wonders, supporting cast muhimu Sana tumeona LeBron alivyorahisisishiwa kazi baada ya AD kutua Lakers.Ikitokea Giannis akaenda Dallas itakuwa noma mzee, watatisha. Huku Luka, huku KP, huku Greek Freak!
Nachompendea Mark Cuban ni vile anawapenda wachezaji wake na timu kwa ujumla. I think ni one of the best owners.
Brooklyn wanaweza kusumbua kwa East, issue ni kama KD atarudi kwenye ubora maana injuries za namna ile zinakuwa ni mara chache kurudi kwa 100%. Hoping pia kwamba Kyrie hatasumbua kwenye Leadership.
Baada ya Lakers kuchukua ubingwa siku chache baadae nilionaTweet ya Charles Barkley, ana mwambia KD ili ajijengee heshima kama LeBron, itabidi achukue ring akiwa nje GSW.
Nafikiri hiyo inaweza ikawa ni chachu kwa KD kurejea kwenye kiwango chake haraka na kujaribu kutafuta hiyo heshima anayosema Charles.