The Alchemist
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 177
- 148
Wakati mwenye shida na uhitaji akiniuliza maswali mbalimbali ya ufahamu wa sheria ningependa tujadili;
1) Kati ya sheria na makosa, ni kipi kilitangulia?
2)Unadhani Tanzania sheria kuna heshima ya sheria?
3) Legitimacy ya sheria inatoka wapi?
1) Kati ya sheria na makosa, ni kipi kilitangulia?
2)Unadhani Tanzania sheria kuna heshima ya sheria?
3) Legitimacy ya sheria inatoka wapi?