[Leaked] Facebook Wealth Formula,500$ Daily without having Website or A Product

Traveller X

JF-Expert Member
May 2, 2017
271
305
vllkyt6bb70t5i7nn.1b95d09d.jpg

Hello member this is my second and Last leak for today:This is a facebook wealth formula lakini kabla sijaielezea kidogo kwanza naomba kusema kua nashea hivi vitu kwa moyo mmoja tu na wala sio utapeli kama watu wanavyodai nashea kwasababu nna washkaji wengi tu humu waliniomba nijiunge ili niwe natupia mavitu hivyo naomba tusikatishane tamaa we soma maelekezo ukiona kuna harufu ya vizi basi acha wanaoelewa mambo haya wajaribu.

lets go back kwenye topic:

Hii method natumia tangu last year guys na wala sio formula yangu nilinunua kwa mzungu mmoja anaitwa Adam C Miller nadhan mkidownload hicho kijitabu (e-book) mtamsoma na mtamuelewa zaidi,nilinunua kwa 100$ na ikanichukua muda mfupi kusetup kilakitu kama alivyonielekza na mpaka sasa naendelea kupiga kazi,najua kuna watu watako kuja juu kuuliza wapi iko payment proof? well,siwezi post payment doc yangu hapa so as i sayed nashea na nyingi kwa moyo mmoja hivyo ukiona kuna harufu ya kudanganywa bas unaacha.

Download Kijikitabu (e-book) Link: E-BOOK

Pia Mapema leo niliweka post ya formula nyingine ya kutengeneza 20$ daily japo wengi waliniambia PayPal hai work in Tanzania ila sio mbaya ukiupitia tena uzi pengine utaokota mawili matatu,Uzi huu hapa: [Leaked]MAKE $10-20 OVERNIGHT WHILE YOU SLEEP (PAYPAL)


Mr.Trickx
 
Binafsi sijaona hicho kitabu chenyewe
mkuu Mimi nimekidownload ila kunausumbufu kweli click to download yani hadi uwe mvumilivu kweli kuclick..nimekisoma nimekielewa kinaeleza mbinu za kutengeneza pesa kwa njia Facebook, njia kupafa marafiki walioko active kwa kukusanya email za wahusika ukitumia software inaitwa "acute email Ids" baada ya kufika limits ya frnds 5k, hapo ndo unaanza kugungua fan page ambapo tatari utaanza kupiga hela kupitia website inaitwa "clickbank" hiyo nj kwa ufupi tu
 
mkuu Mimi nimekidownload ila kunausumbufu kweli click to download yani hadi uwe mvumilivu kweli kuclick..nimekisoma nimekielewa kinaeleza mbinu za kutengeneza pesa kwa njia Facebook, njia kupafa marafiki walioko active kwa kukusanya email za wahusika ukitumia software inaitwa "acute email Ids" baada ya kufika limits ya frnds 5k, hapo ndo unaanza kugungua fan page ambapo tatari utaanza kupiga hela kupitia website inaitwa "clickbank" hiyo nj kwa ufupi tu
Asante mkuu, unaonaje ukiattach hapa mkuu nasi tudownload. Tuwekee hapa kwa msaada.
 
pakua hiki hapa mkuu

Mkuu shukrani kwa ufafanua kuhusiana na kijitabu hiki (e-book) japo kwa kifupi kwa maana wengine walihisi nawazingua tu,anyway naomba usiwe unaweka direct download link yako hapa kwasababu utakua leacher mkuu,nimeweka link watu wakapakue kule kwamaana watu wakipakua kule na mimi ndo napata vijisenti vya vocha ili niendelee kuweka tricks nyingi zaidi lakini ukiweka kijitabu chote watu wa download hapa nitafail mkuu,Hop umenielewa mkuu kama unahitaji kushare bas share link ya kule ulipo download ili watu waka download kwenye origional source.thnx

Mr.trickx
 
Mkuu shukrani kwa ufafanua kuhusiana na kijitabu hiki (e-book) japo kwa kifupi kwa maana wengine walihisi nawazingua tu,anyway naomba usiwe unaweka direct download link yako hapa kwasababu utakua leacher mkuu,nimeweka link watu wakapakue kule kwamaana watu wakipakua kule na mimi ndo napata vijisenti vya vocha ili niendelee kuweka tricks nyingi zaidi lakini ukiweka kijitabu chote watu wa download hapa nitafail mkuu,Hop umenielewa mkuu kama unahitaji kushare bas share link ya kule ulipo download ili watu waka download kwenye origional source.thnx

Mr.trickx

Nimefungua uzi huu now na kujikuta nacheka, si ungeandika kwa uwazi kuwa unaomba watu wabonyeze link hiyo upate pesa, nawe uwafundishe nao watapataje pesa hizo.

Umesema kwa moyo mmoja kumbe umepindisha...kuweni wakweli. Sasa naona imekubidi ufunguke na tangu mwanzo unaonekana unadanganya eti marafiki wamekuomba, mbona hujaandika wao wamelataje faida pia!!!?

Acheni ujanja wa maneno mengi yanayoleta maswali, sema bonyeza ili kwako iweje. Oyaaa na mimi sijabonyeza. Bali. good luck
 
Nimefungua uzi huu now na kujikuta nacheka, si ungeandika kea uwazi kuwa unaomba watu eabonyeze link hiyo upate pesa, nawe uwafundishe nao watapataje pesa hizo.

Umesema kwa moyo mmoja umbe umepindisha...kuweni wakweli. Sasa naona imekubidi ufunguke na tangu mwanzo unaonekana unadanganya eti marafiki wamekuomba, mbona hujaandika wao wamelataje faida pia!!!?

Acheni ujanja wa maneno mengi yanayoleta maswali, sema bonyeza ili kwako iweje. Oyaaa na mimi sijabonyeza. Bali. good luck


sioni kama kuna tatizo kushare link ya site yangu kwasababu ndipo ninapohifadhi articles zangu sasa ulitaka niweke link gani ili watu wa download ndio ujue kua nashare kwa moyo mmoja? au ulitaka ni paste kitabu kizima hapa?? comeon!
 
sioni kama kuna tatizo kushare link ya site yangu kwasababu ndipo ninapohifadhi articles zangu sasa ulitaka niweke link gani ili watu wa download ndio ujue kua nashare kwa moyo mmoja? au ulitaka ni paste kitabu kizima hapa?? comeon!
Msaada wa kupata iyo acude id , narudia tena naomba msaada tu.
 
Msaada wa kupata iyo acude id , narudia tena naomba msaada tu.
Acute Email ID inauzwa mkuu fungua kitabu hicho utaelekzwa site mzuri ya kunulia. kuhusu jamaa kutudirect links zenye virus atambue kuwa Mimi nilishawahi lambwa ban ya Siku 30 kwa kudirect ads links. so alichofanya mkuu hapa siyo poa kabisa japo Mimi nililielewa tangu mwanzo wa thread ya kwanza. njia anazotumia siyo poa kabisa. namshauri ahamie Facebook, watsapp groups, Instagram hapo atawashika masikio wengi
 
Sasa mkuu sio mbaya ungetuonesha sisi matomaso real earnings zako baada ya kutumia mbinu hiyo ukiachana na mwandishi bw. Adam Miller alizoonesha kwenye kitabu chake. Yumkini hiyo citibank inaweza ku f(x) huku kwetu? Maana hata payments za PayPal tu hazikunali huku
 
Sasa mkuu sio mbaya ungetuonesha sisi matomaso real earnings zako baada ya kutumia mbinu hiyo ukiachana na mwandishi bw. Adam Miller alizoonesha kwenye kitabu chake. Yumkini hiyo citibank inaweza ku f(x) huku kwetu? Maana hata payments za PayPal tu hazikunali huku

Kwanza kuhusu earnings zangu nimeeleza hapo juu kua sitaweka hapa jukwaani na kama huamini nnachoweka hapa jukwaani ni rukra ku ignore.

Pili kuhusu hyo Clickbank kufanya kazi kwetu nimeelezea pia kwamba clickbank najua kuna nchi haifanction dats why nikasugest unaweza tumia clickbank alternative ambazo ziko kibao na nikatoa mfano wa amazon affiliate.
 
Acute Email ID inauzwa mkuu fungua kitabu hicho utaelekzwa site mzuri ya kunulia. kuhusu jamaa kutudirect links zenye virus atambue kuwa Mimi nilishawahi lambwa ban ya Siku 30 kwa kudirect ads links. so alichofanya mkuu hapa siyo poa kabisa japo Mimi nililielewa tangu mwanzo wa thread ya kwanza. njia anazotumia siyo poa kabisa. namshauri ahamie Facebook, watsapp groups, Instagram hapo atawashika masikio wengi

Mkuu naheshimu mchango wako lakini naomba nikukosoe, kwanza kuhusu link nnazopost hapa jukwaani kuwa na virus sio kweli,

Mfano link nliyopost kwenye uzi huu ni hii: [Leaked] HOW TO EARN 500$ (FACEBOOK) DAILY WITHOUT HAVING WEBSITE OR PRODUCT. - TrixTipx na unaweza ukatumia tu virus total ku scan hyo link au tazama screen shot. hapo chini.

Na kama kweli kudownload hicho kijitabu kuna popup ads za virus i don think ni kweli au labda ni laptop yangu ndio hairuhusu virus so siwezi ona ila kama ni kweli em nitumie screenshot ili nichange sehem ya kudownload tafadhal
 

Attachments

  • Screenshot 2017-06-04 at 4.34.37 PM.png
    Screenshot 2017-06-04 at 4.34.37 PM.png
    15.5 KB · Views: 80
Kwa mtaotaka kutumia njia hii

1.njia hii inahusisha fake f.b profiles : usiupload picha za watu wa fb au za kusearch google (kama alovyoandika writer) mana facebook wanaweza kutambua sio picha zako halisi na watakufungia account, so inabidi muupload picha ambazo hazipo fb wala google images.

2.usilogout profile ya f.b utakuwa disabled endapo utafata njia ya mwenye kitabu..i recommand one browser one fb account and do not log out.

3.kuupload contacts tumia google contacts(njia ya yahoo ya mwandishi inazingua nowadays) lakini hakikisha csv file yenye contacts isizidi contacts 5,000 na pia huruhusiwi kuupload csv files zaidi ya mara tano kwa siku moja lasivyo waweza kufungiwa hii feature so upload csv files angalau tatu kwa siku moja each not exceeding 5000 emails.

4.Acute email id generator ambayo muandishi katurecommand tutumie ni elf 52 lakini good news ni kwamba inaweza kuwa cracked so ukiitaji cracked version ntakufundisha kuivunja

5.Baada ya kupitia changamoto zilizofanya account zangu 5 ziwe banned saizi nmesahisha makosa kwa tips 1- 3 kwa sasa accouny yangu ina marafiki 4600 kilichobaki kwa sasa napiga mpunga kwa click bank japo sio dola 500 kama muandisho alivyoahidi lakini kwa siku hizi za mwanzo napiga average dola 30 kwa siku kwa kazi ya dakika 5 kwa siku:)o_O

NI hayo tu
 
Back
Top Bottom