michael costa
Member
- Feb 19, 2018
- 14
- 3
Ooo
Wanawake bana!! Ndio maana Biblia inasema, enyi waume muishi na wake zenu kwa akili!!!View attachment 703472
PART 55:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Pichani na rafiki pekee niliyekua naye USA mpaka leo Peter Luangisa....ni mbongo pekee tuliyekua tunaelewana na tunaelewana mpaka leo ananjiua na ninamjua tumeishia kua ndugu ndio alipofiwa na Baba yake niliruka kwenda Bukoba bila kufikiri mara mbili na hata majuzi tena kwenye kumbu kumbu ya Baba yake tena nilikua wa kwanza Bukoba kumpa support ni binadam mmoja tu aliyekubali kuchukiwa na wajinga wote kua rafiki yangu na mpaka leo jamii nzima ya Wabongo New York inamchukia kwa sababu ya kua close to me tulikua tunatumia masaa kuongea kuhusu situation iliyonikuta ...
Upande wa pili my ex na kundi lake wakawa wanatengeneza mkakati wa pigo moja ili kunimaliza kwangu yalikua ni maajabu ya Dunia Wanawake ambao wana ndoa zilizooza kabisa kwenye ile jamii yetu sasa ndio waliokua Waalimu wakubwa wa my ex I mean Kiongozi wake namba moja alikua ni yule Dada aliyefurahia sana kurudishwa kwake Bongo iile Deportation aliyekua na ndoa mbovu kuliko zote lakini hapa ndiye aliyekua kiongozi wa kumshauri my ex afanye Divorce magari mabovu yanajaribu kuvutana na ujumbe kwangu ulikua very clear kwamba nikifanya kosa moja tu kwenye kufikiri this time Shetani atanimaliza kweli sawa nimepigana sana na Shetani huko nyuma na kumshinda lakini hili la safari hii lilikua sio mchezo.
Kwa mara ya kwanza nikaanza kukubali ndani ya nafsi yangu kua Shetani amenibana lakini nikajiuliza swali moja la msingi sana je ni UJUMBE KUTOKA KWA MUNGU KUA SAA YA KURUDI NYUMBANI BONGO IMEFIKA?...but swali likawa ninarudi wapi na kufanya nini after 30 years? kwani majuu nilikuja kufanya nini? Ok kwanza nilienda kutafuta maisha mazuri na Elimu pesa zangu karibu zote ziliishia kwenye Elimu lakini nilinunua shamba na nilijenga Nyumba ila cha msingi ni hakuna price ya Akili Kubwa niliyoipata USA.
Sasa nilikua na uwezo wa kufikiri na kuona mbali sana as opposed na kabla sijaenda then nikaanzaa kutafakari yote yaliyofanywa na my ex na kundi lake cause kwenye Criminology nilifundishwa binadam sio mkamilifu siku zote kuna mahali atakosea tu ila inahitaji umakini kuona alipokosea nikagundua kosa kubwa la my ex na wanaomshauri kua kuna kona hawajaliona nikaanza ku smile!
..ITAENDELEA
W. J. Malecela mbn inaonekana kama mpk ndugu zako wa karibu kama huyo step sister wako walikuchukia sana why? Au tatzo ni wewe je mdogo wako samwel nae anakuchukuliaje
Historia yako inasikitisha, inasononesha na wakati mwingine inafurahisha..
Nikupe pole kwa yote uliyopitia hasa wakati wa utoto wako na naweza sema shida/matatizo uliyopitia hasa kutoka kwa watu wazima ambao wajibu wao walitakiwa wakulinde lkn ndo walikuona adui wao..rejea mama wa kambo...
Na hii imekufanya kuwa ulivyo...Sasa ninakuelewa ni kwanini huko hivyo ulivyo...Ulichagua njia sahihi ambayo umekufanya uwe strong..
Ukiangalia unapitia njia ngumu maana maadui zako ni ndugu zako wa karibu...mama wa kambo, dada zako, mkeo, na si ajabu watoto wako na mzee wako pia...Sasa Girlfriend na video yako..
Hii itakufanya kutojenga imani tena kwa mkeo mtarajiwa...kitu ambacho hata kwa mkeo ulikuwa hivyo..hii yote ninaweza sema inatokana na wazazi kutowajibika kwa watoto wao wakiwa wadogo...
Mpaka hapo wewe ni mshindi...
Huyo Peter Lwangisa nimesoma naye boarding enzi za primary. He used to be the most fearsome bully in school. I remember him as a vicious, violent, brutal individual who would beat you up for no reason. His was a reign of terror until the day he left the school. Kama mnaelewana naye huyo basi you guys must be cut from the same cloth.
Le mutuz Le Mobimba BOMAYE wewe ni Great Thinker , upo smart.- Unauliza majibu Samwel hayumo kwenye equation ya urithi na sio a threat kwa sababu hajasoma sana, tumia akili kidogo ndio maana majuzi nilimuambia my ex wale dada zangu hawana shida naye tena maana walichotaka ni Divorce wakiamini itanimaliza iliposhindwa basi hawana shida naye tena sasa wamewekeza kwa Mange, guys mbona ukisoma vizuri maelezo yapo very clear!,
- Imagine tukiwa kwenye ndoa my step sister alikataa kata kata watoto wangu wasilale kwake, lakini tulipokua in separation wakawa wanaenda kulala kwake niambie unaweza ku reason out na hizo akili?
le Mutuz
ilianza kama vichekesho na story ya majigambo ikaja kuwa ya kutafuta sympathy kwetu kwa kale kavideo,sasa imeturn na kuwa habari ya kututoa au kukaribia kututoa machozi.Mkuu heshima kwako na pole kwa uliyopitia
Le Mobimba .....
. ktk kitu kitaliweka Jina lako sawa ni hii chapter unayotuandikia William Malecela ni Nani kwenye Taifa hili na umuhimu wake. XWife Pamoja na wale Maadui wako ndio sterling man walikuwa wanakupaka matusi makubwa makubwa bila soni!
Kwa history hii najua sasa umewashinda!
Nadhan sasa hawaelewani! kwa Mshindo huu mzito kabisa.
Story yako inasisimua sana aisee........hongera kwa maamuzi magumu!View attachment 703634
PART 58:- "MY AMERICAN EXEPRIENCE"
Picha ya Coupon niliyonunulia tiketi na Hotel at Zurich ...Kwa kawaida kabla ya kufanya maamuzi yangu magumu hua ni muhimu sana natafuta JUSTIFICATIONS ambazo ni FACTS ninaziweza kuzisimamia hata mbele ya Watu wenye akili kua ilikua ni lazima nifanye nilichokifanya Uamuzi wa kurudi Bongo ulikua na tatizo moja kubwa sana Watoto! ...but nikaanza ku reason out kua hata nikibaki Watoto hawatakua wangu tena yatakua maisha ya kugombea watoto mahakamani kila siku, nitapangiwa muda wa kuwa nao na Mwaka Mmoja na Nusu wa Separation watoto wangu walikua wameshabadilika ukiwaona tu unajua wana tatizo.
Mama yao alikua anahangaika kuwa train ili wa fit anachotaka yaani kuonyesha Wanampenda yeye kuliko mimi a nonsense theory cause ninajua from Criminology Studies kua Watoto ni watu wenye akili sana za their Security kuliko hata sisi watuwazima ikitokea a choice ya kuchagua baina ya Baba na Mama yupi wa kuishi naye watoto automatically 99.1% watachagua Mama tu cause ndiye anayewalisha na kuwa nao wakati wote Mwanaume akiwa kazini lakini watoto wakikua wanaamua tofauti sio kwamba hawajui kua mama yako anawavuruga ...
Safari ilikua imeiva Ijumaa tu kesho Jumamosi safari kwa bahati ikatokea Concert la Mzee Yusuph Ijumaa usiku nikaenda na kama kawa my ex akaingia na kundi lake wakiwa na jeuri nzito sana usoni mwao nilikaa pembeni nawachora tu nawacheka kimoyo moyo kua kesho mtapata mshituko wa ajabu hahaha nilikua na mshikaji wangu Peter kama kawaida hata yeye sijamuambia kua kesho ni balaaa ...uchunguzi wangu wa siri ni kwamba my ex na wenzake walishaenda mahakamani na Wanasheria walishapata makaratasi ya kunifikisha mahakani kudai mshahara wangu nikasikia furaha waliokua nayo makaratasi ninatakiwa kupewa Jumatatu.
Nasikia my ex alishaanza kutafuta nyumba kubwa ya kuishi kwa kutumia mshahara wangu hahahaha nilicheka sana mwenyewe kimoyo moyo ingawa bado nilikua napigana na nafsi yangu kuhusu watoto kwenye makaratasi ya Divorce my ex alidai lazima abaki na watoto na Sheria inamruhusu then likanijia wazo la nitawafanyia nini watoto kama mimi mwenyewe sipo sawa! baada ya kulipia lipia kila kitu muhimu nikabaki na Dola 1500 tu!
..ITAENDELEA