P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,195
- 621
Mzee wa kula kulala kwa mama mdogo.....
View attachment 210821
bwana harusi enzi za utoto super handsome u know....
hahahaha uknw mabebiz wakarez walianza kunipendaz nikiwa mdogo uknw..ndio maana baba akanipeleka marekani nikakaa miaka 25 ukw nimerudi bado mabebiz superlemtindiz wananipenda ...hakuna mtanzania aliye ishi marekani muda mrefu kama Mimi uknw!
hahahahaha I love it
View attachment 210821
bwana harusi enzi za utoto super handsome u know....
hahahaha uknw mabebiz wakarez walianza kunipendaz nikiwa mdogo uknw..ndio maana baba akanipeleka marekani nikakaa miaka 25 ukw nimerudi bado mabebiz superlemtindiz wananipenda ...hakuna mtanzania aliye ishi marekani muda mrefu kama Mimi uknw!
hahahahaha I love it
Achana na lemutuz
Leo nimepatwa na upepo wa kupiga kura...
Nishatoka serikali ya mtaa
Nimehamia miss world
Hahahahaaaaa kumbe Le Mutuz ndiye mtz aliyeishi marekani muda mrefu kuliko wote?...lol
hahahaha uknw Mimi ndio mtanzania aliywai kuishi marekani muda mrefu na sijasahau .kiswahili uknw nina shangaa super waswahilizi wakienda marekani miezi miwili wanajifanya wamesahau kiswahili uknw watu kama hawa huwa ni madebe matupuz uknw
hahahahaha I like it!
hahaha hata Mimi nimesha piga naendelea kupiga kwa Miss world! Note usichague muafrika wala usichague wenye 25,10,50 isipokuwa Happines from tz!
kumbe pensi katoka nazo mbali ha ha ha i love it...Hahahaaaa jamani hicho kipensi???
Haha haaaaa kweli Le Mutuz japo ana u know nyingi lakini kiswahili hajakisahau.