Le Mutuz anatarajia kufunga ndoa

P. Majaribu

JF-Expert Member
Jun 2, 2014
1,195
621
Hii ni kutoka vyanzo vya kuaminika.Baada ya huyu ndugu yetu kuishi maisha ya ubachelor miaka mingi sasa kaamua kufanya kweli.Harusi mapema mwakani

Le Mutuz akiwa na Mbebez wake.Yaani wanapendana hadi wanaumwa kwa mpigo.
 

Attachments

  • 1418533303058.jpg
    1418533303058.jpg
    17.5 KB · Views: 4,212
Mzee wa kula kulala kwa mama mdogo.....

hahahaha uknw super gadem mburulaz mnahangaika sana na hamjui naendele kuingiza hela! uknw nyumba yangu ya vyumba vitatu nimesha imaliza kabisa na nina andaa party ya kufa mtu uknw...mabebiz wakarez watakuwepo kwenye ufunguz!
Supergadem waswahili hamniwez uknw
hahahaha I like it!
 

Attachments

  • 1418540608330.jpg
    1418540608330.jpg
    41.8 KB · Views: 1,088
Achana na lemutuz

Leo nimepatwa na upepo wa kupiga kura...


hahahaha uknw mabebiz wakarez walianza kunipendaz nikiwa mdogo uknw..ndio maana baba akanipeleka marekani nikakaa miaka 25 ukw nimerudi bado mabebiz superlemtindiz wananipenda ...hakuna mtanzania aliye ishi marekani muda mrefu kama Mimi uknw!
hahahahaha I love it

Nishatoka serikali ya mtaa

Nimehamia miss world
 
hahahaha uknw mabebiz wakarez walianza kunipendaz nikiwa mdogo uknw..ndio maana baba akanipeleka marekani nikakaa miaka 25 ukw nimerudi bado mabebiz superlemtindiz wananipenda ...hakuna mtanzania aliye ishi marekani muda mrefu kama Mimi uknw!
hahahahaha I love it

Hahahahaaaaa kumbe Le Mutuz ndiye mtz aliyeishi marekani muda mrefu kuliko wote?...lol
 
Achana na lemutuz

Leo nimepatwa na upepo wa kupiga kura...




Nishatoka serikali ya mtaa

Nimehamia miss world

hahaha hata Mimi nimesha piga naendelea kupiga kwa Miss world! Note usichague muafrika wala usichague wenye 25,10,50 isipokuwa Happines from tz!
 
Hahahahaaaaa kumbe Le Mutuz ndiye mtz aliyeishi marekani muda mrefu kuliko wote?...lol

hahahaha uknw Mimi ndio mtanzania aliywai kuishi marekani muda mrefu na sijasahau .kiswahili uknw nina shangaa super waswahilizi wakienda marekani miezi miwili wanajifanya wamesahau kiswahili uknw watu kama hawa huwa ni madebe matupuz uknw
hahahahaha I like it!
 
hahahaha uknw Mimi ndio mtanzania aliywai kuishi marekani muda mrefu na sijasahau .kiswahili uknw nina shangaa super waswahilizi wakienda marekani miezi miwili wanajifanya wamesahau kiswahili uknw watu kama hawa huwa ni madebe matupuz uknw
hahahahaha I like it!

Haha haaaaa kweli Le Mutuz japo ana u know nyingi lakini kiswahili hajakisahau.
 
Back
Top Bottom