Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,606
hakuna sehemu inayokosa jina, haya majina yalitokana n tukio fulani!
mfano kule Tanga kuna mwembebasha -inasemekana jina hilo lilitokana na matukio yake kuwa kila aliyepumzika kwenye huo mwembe alipitiwa na ucngizi na aamkapo popobawa anakuwa keshapita zamaaani
mfano kule Tanga kuna mwembebasha -inasemekana jina hilo lilitokana na matukio yake kuwa kila aliyepumzika kwenye huo mwembe alipitiwa na ucngizi na aamkapo popobawa anakuwa keshapita zamaaani