lazima utakuwa hujalala kwenu

UncleJoe

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
624
508
najua ushaitumia hii, tena sio kwenu, haya niambie umeitumia ukiwa wapi vileeeee?

522483_457572274278552_1030736840_n.jpg
 
najua ushaitumia hii, tena sio kwenu, haya niambie umeitumia ukiwa wapi vileeeee?

522483_457572274278552_1030736840_n.jpg

Nyumbani kwangu, kwani kuna sheria inayotaka zitumike hotelini/guest houses tu? Mbona hata kwenye nyumba za watu kuna guest wing?
 
Yaani ukiingia tu chumba cha guest unakaribishwa na harufu ya hivi visabuni!! Dah! Harufu yake inachosha saana!
 
Back
Top Bottom