lazima utakuwa hujalala kwenu

UncleJoe

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
624
508
najua ushaitumia hii, tena sio kwenu, haya niambie umeitumia ukiwa wapi vileeeee?

522483_457572274278552_1030736840_n.jpg
 
najua ushaitumia hii, tena sio kwenu, haya niambie umeitumia ukiwa wapi vileeeee?

522483_457572274278552_1030736840_n.jpg

Nyumbani kwangu, kwani kuna sheria inayotaka zitumike hotelini/guest houses tu? Mbona hata kwenye nyumba za watu kuna guest wing?
 
Yaani ukiingia tu chumba cha guest unakaribishwa na harufu ya hivi visabuni!! Dah! Harufu yake inachosha saana!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom