Lazima mke ashuke tu kwa mumewe vinginevyo hakuna ndoa

Yaani mnavyoongeaga hizo kauli mnajikutaga miungu wenyewe mnadhani mnamkomoa nani sasa? Kwa Mungu mwanaume malaya na mwanamke malaya wote wana dhambi

Na kama ni kwenye jamii sidhani kama siku hizi wanawake tunajali tena jinsi tutakavyoonekana kwenye jamii yaani wanawake wa hivyo wamebaki wachache mno na ndo hao ambao wako tayari kuwa hata watumwa kwa wanaume ili tu waolewe lakini wengine tushashituka siku hizi

Ndoa anapanga Mungu na siyo binadamu na Mungu hakumleta mwanamke duniani aje ateseke wala kuwa mtumwa wa mwanaume na wala Mungu hakutaka ndoa zile za mwanamke kujifanya mjinga hata kama mumewe kakosea vipi

Dunia imeshabadilika siku hizi wanaume kubalianeni tu na hali halisi na kama mnaona kuwa hao wanawake mnawatumia endeleeni kujidanganya maana sidhani kama unaweza kusema eti unamtumia mtu ambaye anafanya kitu kwa raha zake
Mungu hawezi mpangia ndoa kichwa maji kama wewe...unaonekana ulishindikana sehemu na bado inakuuma,itakua umri umeenda huna tumaini la ndoa.
 
we huoleki na hutokuja kuolewa kamwe
Haya Ni maneno yako.

Mwenye kauli juu ya Maisha yangu ni Mungu Wala sio wewe.Atakaposema ndiyo hakuna wa kupinga na hakuna wa kubadilisha ukweli. Na nakuombea Maisha marefu ili uje ushuhudie Nini Mungu ameniandalia
 
Mwanaume yupo juu siku zote na atabaki kuwa juu.
Mwanaume amepewa nafasi ya kuwa kichwa katika familia .
Mwanamke ameagizwa utii kwa mumewe
Mwanaume ameagizwa kuishi na mwanamke wa akili.,pia kumpenda mkewe
Tatizo huja pale wanaume wengi wanapokosa akili za kuishi na wake zao,,,hawawezi kusimama katika nafasi zao ipasavyo.

Shida huanzia kwa Mwanaume...
Mipango yote huanzia kichwani...
Kichwa huamua Nini mguu ufanye na Nini usifanye ,,Nini mkono ufanye Nini usifanye
Kama kichwa hakina maamuzi mazuri hata mwili pia utakaa vibaya

Vivyohivyo kiburi kwa mwanamke Ni matokeo ya mumewe kushindwa kusimama vema kwenye nafasi yake Kama kichwa
Watapita kama hawaoni hii komenti
 
Nsimbi,
100% true.... HATA UKIANGALIA WALIOITISHA MKUTANO WA BEIJING.
1. Wengi hawana ndoa, zilivunjika
2. Wengi ndoa zao zipo mashakani
3. Wengi vipato vyao vikubwa, kuonyesha kwamba wenzetu wakiwa juu yetu hawawezi kutawala hisia zao
 
Tukiwaambia "haki sawa" ni mchochezi wa kuvunja ndoa wabishi kama mawe yapigwayo na mawimbi baharini lkn hayatakati kamwe!

Wazazi wa kizazi hiki wanalea watoto kimayai mayai bila kujua wanawaanda wake za Watu kizazi cha kesho.

Mwanamke anamaliza form six hajui kupika, kufua nguo wala kudeki nyumba zaidi ya kufuga kucha kama paka shume.

Binti yuko darasa la 3 kashajua kila aina ya mitandao inayohamasisha ngono na kujibu Watu hovyo hovyo matusi bila aibu wala hofu.

USA & ULAYA kiujumla wameshavunja ndoa sana kupitia hilo pepo la "haki sawa" hadi kuongoza idadi kila mwaka duniani na kuamua wafunge ndoa za mikataba ambazo ni kinyume na Mungu.

Wanaume wenye hekima sasa hivi wanaogopa Wanawake wasomi na wenye ajira zao kama ebola, hujiulizi kwanini ndoa nyingi sana zenye changamoto ktk maelewano ni hao hao wasomi?


Mungu atusaidie sana tuliojaliwa upeo kuona mbele zaidi athari za ulimbukeni wa kuiga iga utandawazi toka nchi za magharibi unaochangia kiasi kikubwa sana kuathiri mila na desturi zetu Waafrika hadi kuharibu matunda mazuri ya ndoa bora.

Naomba muitunze hii sms kuwa ushuhuda ili miaka 10 ijayo iwe ushahidi Mungu akipenda tuwe hai.
Hii umeandika as if mabadiliko haya yameathiri upande mmoja tu wa ke.
 
Wanawake wa siku hizi wanaviburi sana wanataka kuwa juu ya wanaume ndio maana ndoa nyingi zinavunjika na wanawake wengi kuwa ma single mother's
Ngoja nikwambie, hakuna mwanamke anapenda kuwa juu ya mwanaume. Mwanamke anafeel secured anapokuwa yupo chini ya mwanaume wake, ndoto ya kila mwanamke ni kupata mwanaume anayejielewa ili amtii na kumsikiliza for the rest of her life ila inapotokea kinyume chake mwanamke anaona haina haja ngoja wote wawili tushike usukani vinginevyo chombo kitatumbukia shimoni
 
Nsimbi,

This is 100% correct, lakini umezungumzia mme na mke, then ukachambua role of a woman to a man. I hope next time tusome about men then we come up into a discussion.
 
Kwa ujeuri wao ndo maana mengi yanakua singo maza.
Mimi nimeliacha moja lilikua lijeuri,sasa wanaligonga tu na kuliacha,juzi limenipigia simu oooh umeniroga ndo maana sipati mume,nikaliambia mchawi ni domo lako kama chai jaba.
Heee mkuu umelichoka kweli kweli duh
 

Similar Discussions

57 Reactions
Reply
Back
Top Bottom